Usipepese macho wala maskio! Kakamue mjombaa,, m nilipata gamba langu hapo na ninakazi fresh tu!! Kwenye interview niliwaggalagalaza kibao wa vyuo vyenu vya kata!! Sema unatakiwa uwe na ubongo unaojitegemea,
Kaka naomba nitafute unishauri kuhusu open,,,,mm mwenyewe nimechaguliwa mwaka huu na programme yetu ni mpya, namba yangu ni 0784391038