Ndg wanajamii Nna mpango wa kusoma open university ya education economics na geogy lkn cna uhakika kuw ntakapomalza degree wizara itantambua kama mwalm sawa na fresh from university ama vp na je uthaman wa degree ya open uko vp ktk suala zma la ajira? ukilngansha na wale wa fresh from universty msaada jaman kwa wale wenye uzoef