Naombeni msaada niko kwenye msongo wa mawazo

Ukikuta na yeye hana ukimwi muoe na wote muache uzinzi
 
Where there is pleasure there is always a danger.
 
Bebaneni wote muende kwenye kituo vya ushauri na kupima. Hapo mtapewa msaada wa ushauri nasaha na kupima afya zenu.

Siku nyingine ukitaka kunyandua hakikisha unamlainisha vya kutosha sio unamfumua tu kama goli la Mzize.
 
Bebaneni wote muende kwenye kituo vya ushauri na kupima. Hapo mtapewa msaada wa ushauri nasaha na kupima afya zenu.

Siku nyingine ukitaka kunyandua hakikisha unamlainisha vya kutosha sio unamfumua tu kama goli la Mzize.
shukrani sana
 
Mods huu ujinga wa watoto darasa la pili shule ya mkombozi mnaruhusu vipi?
Piga ban hii takataka
 
Kula vizuri, fanya mazoezi pumzisha mwili wako

Ukizingatia hayo utaishi kwa matumaini,

By the Way unayo nafasi, hebu jiamini
 
Wewe unakosa amani na Raha kwa sababu una roho ya huzuni inayotaka utubu

Huzuni ya Mungu hupelekea Toba inayoleta wokovu!

Tunu bro! Achana na kuzagamuana, tafuta hela. Tafuta mke tulia kwenye ndoa!

Yaaani ukute kwa familia uliyokulia na mambo unayofanya hata huendani nayo
 
exactly mkuu...umeongea ukweli kabisaa🙏
 
Acha ujinga ,sasa kama ushapima huna HIV una stress za nini?acha utoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…