Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Dhamani [emoji777]Nawaza hivi lakini Je kama mkopo wa NMB alishatumia hati ya nyumba kama dhaman??
Dhamana [emoji3581]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhamani [emoji777]Nawaza hivi lakini Je kama mkopo wa NMB alishatumia hati ya nyumba kama dhaman??
Hili ndio la msingi, miezi nane si Mingi. Akubali tu kuishi kwa taabu kipindi hiki ili mradi hadaiwi kodi, taabu nyingine azivumilie, awashirikishe familia vizuri ili kusiwepo masononeko ndani baada ya kuona ni chai na msosi mara moja per day.
Hivi mbona unaongelea tu waliofanya kazi miezi mitatu??wanapata fao la mazishi
CAP 135, sheria namba 2 ya mwaka 2018
huwezi kupata pensheni umefanya kazi miezi au miaka mitatu umevuta!
mfuko ungefilisika. Mfuko ni kama bima, wengine wanalipwa wengine hawalipwi, kuna walio kwiti kazi, waliofukuzwa, waliovuta. Na mfuko unaombea haya yatokee!
kwa kweli sielewi kabisa mwajiri anawezaje kuwa mdhamini wa mkopo wa mtu as if ajira ni kitu cha kudumu
Mama mkubwa unanisaidiajeWote tunapenda fedha, lakini ulifanya makosa kuchukua fedha isiyokuhusu. Kwa kitendo hicho Benki zote huwa wanachukua hatua hizo, kuchukua chochote kinachoingia Kwa account Hadi wakamilishe hela Yao.
Mirathi yako inakatwa wanapewa benki? Vipi kama umeacha mashati matatu ??Hivi mbona unaongelea tu waliofanya kazi miezi mitatu??
Sasa ukae ukijua ukifariki na una mkopo bank, mirathi yako ambayo wangepewa familia inakatwa deni na inayobaki wanapewa familia au wategemezi wako. Usifikiri eti unaweza kufanya kazi 10 yrs alafu ufariki familia isipate chochote.
Hilo fao la mazishi ndio litakatwa deni la bank inayobaki watapewa hao wategemezi..
Wewe unafikiri dhana kwamba mwajiri ndio collateral yako ni ipi? Think!!
Kama Mwajiri wako ni serikali basi suala la makato kuendelea kwenda Loan Board hatuwezi ku-conclude kwamba Board hawajapewa chao!! Unaweza kukuta NMB wamesha-prepay Loan Board lakini Hazina bado wanapeleka makato huko huko Loan Board badala ya NMB, matokeo yake pesa inaenda kukaa kwenye suspense account!Ninachokuambia ni ukweli salary slip bado inaonyesha Bodi wanakata Kama kawaida maana hawajapewa Chao..
Lakini pia Deni ambalo lipo kwenye akaunti yangu,
NI TOFAUTI NA DENI WANALONIDAI HAO LOAN BOARD,
sasa sijui
Kwahiyo huko PSSF yanapelekwa mashati au unakatwa pesa kwenye mshahara wako??Mirathi yako inakatwa wanapewa benki? Vipi kama umeacha mashati matatu ??
Sio kila mtu anaacha mirathi inayotosha kukatwa kulipa deni la nyumba bro.
Na hilo fao la mazishi ni hela ya jeneza na nauli ya Coaster moja kwenda kijijini kwenu kuzikwa, inalipaje deni la mortgage ya nyumba ????
Halafu unasema nifikirie watu waliofanya kazi miaka 10, hata miaka 10 haitoshi kupata pensheni. Pensheni inaanzia miaka 15, yani miezi 180 ya uchangiaji.
Huwezi ku kwiti kazi au kufukuzwa au kuvuta kabla ya muda wa kustaafu halafu ukasema una pensheni, inatoka wapi pensheni?
Email yake personal au ya kazi?Tafuta email ya CEO wao..
Au nenda ukamuone
Wanachofanya hawa wafanyakazi wa chini ni kukukandamiza kufukia makosa yao..
Mradi Una evidence hadi za simu..
Basi nenda kamuone CEO wao..
Waambie utaenda Kwa media
Bank zinaogopa media kuliko mahakama
Wewe ni mwizi kwa kuwa kitendo ulichofanya ni wizi, lipa deni la benki, usafishe profile yako. Kwa taarifa yako huwezi kopa benki yoyote wata ku blacklist mpaka urudishe hilo deni.Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.
Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!
Mwizi
Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.
Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.
Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje.
NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Yaani uchukue Mali isiyokuhusu, mwenye Mali ashtuke umlaumu?. Ni kweli situation ya kukosa mshahara ni ngumu na inatesa lakini makosa ni yake.Ni watumishi weeengi mno wanaolia na bank hyo ,kusema ukweli nmb wajitadhimini
Nimeanza humu JF pia NMB Tanzania njooniWapeleke mahakamani..
Tumia na media pia kuwapelekesha.
Wataomba makubaliano mapya tu
Hajakataa kulipa ila ni namna ya kulipa kuna muda shida zinaweza kukufanya ufanye jambo la ajabu sana tuendelee kumuomba Mungu atupunguzie ugumu wa maisha kesho yetu iwe njema maana hatuijui na huijuiWewe ni mwizi kwa kuwa kitendo ulichofanya ni wizi, lipa deni la benki, usafishe profile yako. Kwa taarifa yako huwezi kopa benki yoyote wata ku blacklist mpaka urudishe hilo deni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tugeshea kwenye msafara wa mkuu akipita omba mic utoe malalamiko, kama wanavyofanya wajane waliodhurumiwa nyumba zao skuiz naona anatoa maelekezo. Watakata robo ya mshahara boss.