witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hapa wanajikosha tuu, lkn uhalisia wangelala mbele na hiyo hela kama mleta uziAsante Sana wity...watu wanafiki balaa sijui kwanini..yanajifanya masafi kumbe uozo mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wanajikosha tuu, lkn uhalisia wangelala mbele na hiyo hela kama mleta uziAsante Sana wity...watu wanafiki balaa sijui kwanini..yanajifanya masafi kumbe uozo mtupu
Hujui asili yetu unafiki mkuu...gangamala nao ulipe kidg kidg..all the bestNa hata Mimi nataka kulipa hili Deni lakini wakate kidogo kidgo sio mshahara wote,
Wanaonituhumu bila Shaka wenyewe hawafanyi makosa kabisa hapa Duniani
Pension yako italipia boss..Mwajiri anapokudhamini, ukifukuzwa kazi inakuaje?
Au tuseme bongo hamna suala la kufukuzana kazi, okay, ukifa inakuaje? Mwajiri analipa deni?
Niwewe tu Mkuu ndio hujasoma vizuri mbona nimeeleweka kabisaHii habari mleta mada umeiandika sijui huku unakimbizwa na maofisa mikopo wa NMB wanataka kukunyang'anya na simu kabisa ili wapunguze deni.
Hebu ainisha bila kificho mambo yafuatayo bila kutuchanganyia madawa...
1. Deni la bodi ya mikopo (HELSB) ni kiasi gani?!
2. Ulikuwa unadaiwa na NMB kabla ya kupelekea deni la helsb ama ulimaanishaje?!
3. Hiyo amount ya milioni 5,600,000 inahusiana na nini na hii 17,400,000 ni nini?!
4. Kwa mujibu wa NMB na utaratibu wao wa kukopesha na makato, inakuwaje wanakulamba mshahara wote?!
5. Mshahara wako ni kiasi gani ili tuweze kukusaidia kucalculate makato sahihi?!
Hebu tunyooshee habari maana umeandika kwa kuruka ruka sana...
Wanakuja kuuza nyumbaa mzeee..chamsingi acha kazi...wao si wanalingia huo mshahala tuone kama wataendelea kuung'ang'ania
Na kumbuka nimewafuata tufanye negotiation wamegoma,Sheria ya utumishi wa umma inasema lazima mshahara ubaki moja ya tatu.(kila mtu ana ya kwake kulingana na basic salary yake)..lakini pia hakuna mtu mwenye mamlaka ya kukamata mshahara wako bila notification.watu pekee wenye uwezo huo ni MWAJIRI, MAHAKAMA(kwa maandishi ), TAKUKURU(kwa maandishi), benki haina mamlaka ya kushikilia mshahara wako wote bila kupata kibali toka kwa MWAJIRI au MAHAKAMA. walipaswa wafanye negotion na ww namna watakavyokata hiyo hela...nenda kwa MWAJIRI wako mweleze ukweli na ikishindikana nenda kwa wanasheria wakupe msaada wa kuwaita NMB mahakamani.
N.B. watanzania wengi ni waoga kuchukua hatua za kudai haki zao ndo mana wengi huishia maumivu...hizo njia mbili NMB hachomoki...haujashindwa kulipa deni lao watafute njia bora ya we kulipa....
Mkuu naomba kuununua huu uzi[emoji12]
Pole Sana Boss, Umeoa?? Kula mshahara wa wife
Hahaaa. Haikuwa Harbour view towers?[emoji23][emoji23][emoji23]ulisikia wapi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio mkuuHahaaa. Haikuwa Harbour view towers?
Sina option ya kujiua kwenye maisha yangu mbwa wewe 😂😂Jiue tu maana hakuna namna kaka
Wewe si umekula pesa isio yako?unalia Nini?Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje.
Sounds good manake dah, zamani ilikuwa uhuni mtupu, na kuna issue moja sijui kama wameshaifanyia kazi! Hii issue ilinifanya niache kazi mahali nikiwa nimefanya chini ya miezi 2... ilikuwa ni Business Consultacy Firm, and I loved the job!Credit bureau ipo Tanzania.
Na inafanya kazi.
Bank zote hawatoi mkopo mpaka wakucheck huko crb ndo process zinaanza.