Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Hahhaaa mie unafiki sikuwezi..mie ningelita nazo mbele na ningesolve huku nimekaa fresh kbs..hebu tuwe real
Angalia usije pita na hela za Al Shabab alafu ukipewa kesi ya uhaini uanze kilia unaonea kisa unaiteteaga Chadema..

Ogopa pesa usiyojua ilikotoka. Mstaarabu hata bia ya mtu asiyemjua bar anakataa ila wewe nafikiri hata meza za watu bar unafakamia sababu tu umeona imejaa bucket's..

Kuwa makini..
 
Angalia usije pita na hela za Al Shabab alafu ukipewa kesi ya uhaini uanze kilia unaonea kisa unaiteteaga Chadema..

Ogopa pesa usiyojua ilikotoka. Mstaarabu hata bia ya mtu asiyemjua bar anakataa ila wewe nafikiri hata meza za watu bar unafakamia sababu tu umeona imejaa bucket's..

Kuwa makini..

😀😀😀 U wish!...all in all hatuna haki ya kumlaumu huyu mtoa mada...mnajifanya wasafi kumbe Huko makazini mnacheza dili chafu..imebumbumbuluka apambane nayo kiume..hakuna kukata tamaa ..!
Yaani ww umeona neno bia ndo bonge ya mfano..umri huu mie nifakamie bia zawatu😆😆!..Sina maisha hayo boss...
 
Kumbe ndio unachotegemea, dili chafu au sio!!

A learned person ambaye yupo formal (muajiriwa, mfanyabiashara ambaye transaction zake nyingi anafanya kibenki) hawezi fanya huo upuuzi unaousema..


😀😀We mwenyewe I'd yako Ina mashaka!..acha unafiki..hakuna msafi huko makazini...
 
😀😀😀 U wish!...all in all hatuna haki ya kumlaumu huyu mtoa mada...mnajifanya wasafi kumbe Huko makazini mnacheza dili chafu..imebumbumbuluka apambane nayo kiume..hakuna kukata tamaa ..!
Yaani ww umeona neno bia ndo bonge ya mfano..umri huu mie nifakamie bia zawatu😆😆!..Sina maisha hayo boss...
Sasa kwanini ufakamie pesa usiyojua ilokotoka?? Ila nyie wapare kesho pesa ndivyo mlivyo 😂😂😂😂 wagumu kutoa wepesi kupokea..

Pole mtani..
 
😀😀We mwenyewe I'd yako Ina mashaka!..acha unafiki..hakuna msafi huko makazini...
Hapa hatuongelei usafi au uchafu.. Iba kama unadhani u can get away with it. Iba kisomi..

Sasa huko kukuta hela kwenye akaunti yako ukapita nayo bila kujua ilikotoka ni kujitafutia matatizo.. Na mifano nimekutolea hapo juu
 
Mkuu wewe si mwaminifu,sheria za kibenki zinasema ukikuta pesa imepungua au kuongozeka kwa account yako toa taarifa,nikuulize tu ungekuta mfano hakuna hata shilingi 50 elfu kwa account yako bila taarifa ungekaa kimya au ungeenda benki kuulizia?

Tena naona adhabu waliyokupa ni ndogo ulipaswa uwe sero.

Siku nyingine jifunze kuwa muaminifu na haya yote hayatakukukuta mkuu.
Hii ndio point ya msingi, mengine yote mbwembwe tu. Anapata mshahara wa kukosa uaminifu
 
Hi kweli
..Ina maana we usingeitoa? Be honest
Mkuu Siwezi tumia pesa isiyonihusu,mwaka 2018 nilikopa pesa benk marejesho yote kwa mkopo wote ilipaswa kuwa 13,000,000 na mkopo ilipaswa kulipwa ndani ya miaka 3,cha ajabu kwa salary slip yangu nilikuta wameandika 1,3000,000 / ambapo nilipaswa kumaliza mkopo kwa miezi mitatu,lakini kwa kujua kuwa pesa za benki hazipotei ovyo ilinibidi nitoe taarifa benki ili waweke mambo sawa

Jifunzeni kuwa waaminifu,ona mwenzako sasa hivi anawaya ways,ilikhali wakati anazitumia hakutushirikisha,sasa anataka tumpe mbinu za kupambana na majanga wakati kayatafuta mwenyewe
 
Umejipandia mzee, hapo hakuna ushauri utakao kufaa.
 
Mkuu Siwezi tumia pesa isiyonihusu,mwaka 2018 nilikopa pesa benk marejesho yote kwa mkopo wote ilipaswa kuwa 13,000,000 na mkopo ilipaswa kulipwa ndani ya miaka 3,cha ajabu kwa salary slip yangu nilikuta wameandika 1,3000,000 / ambapo nilipaswa kumaliza mkopo kwa miezi mitatu,lakini kwa kujua kuwa pesa za benki hazipotei ovyo ilinibidi nitoe taarifa benki ili waweke mambo sawa

Jifunzeni kuwa waaminifu,ona mwenzako sasa hivi anawaya ways,ilikhali wakati anazitumia hakutushirikisha,sasa anataka tumpe mbinu za kupambana na majanga wakati kayatafuta mwenyewe
Huyo Mwanamke nimemdharau bure... Eti anamdanganya mwenzake nenda tena NMB wanaingilika nenda kaongee kiume teh teh teh teh

Anafikiri zile pesa ni za meneja au afisa mikopo.. Ujinga wa hali ya juu!!
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje.

NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Mkuu mi nakusifu. Wewe ni jasiri.
 
Shallow uko wewe unayejidanganya u can get away na pesa ya bank..

Sasa mleta uzi ataleta mrejesho hapa kama unafikiri eti maneno ndiyo yatamsaidia..

Sijawahi kuona Msoffe empty set kama wewe aisee..

Inategemea na wepesi wake..mie ningechomoa hii kesi wangekata kidgo dogo
 
Back
Top Bottom