Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Nashindwa kukusaidia kwa vile hupendi kutoa ushirikiano kuhusu kwa nini uliamua kutumia pesa zote wakati ukijua si halali yako.
Hauna lolote hata wewe naamini ungesepa nayo. Kwa watumishi wa umma wenye madai tofautitofauti ie. pesa ya likizo, mapunjo ya mishahara na kadharika, ni ujinga unapoona pesa imeingia kwa akaunti ujigeuze kachero uanze upelelezi. Lawama za namna hi ni za watu wenye uelewa mfinyu kuhusu mambo ya banking. Kwa nini usiilaumu bank kwa kuweka pesa ki makosa.
 
Ndio ilivyo hasa,
Na lengo Mimi sio kukataa kuwa nadaiwa Bali , ni namna ya kulipa Hilo Deni pole pole bila kuathiri mshahara wote,

Kwasasa sioni tofauti kabisa ya makosa niliyofanya Mimi na haya makosa wanayofanya NMB
Mkuu wewe mpaka hapo una makosa tena makubwa sana..

Unatumiaje hela ambayo hujui ilikotoka? Si umemwona mwenzio Morrison aliandika barua kugomea kiasi alichokikuta kwenye account yake ambacho hakujua kimetokea wapi..

Mkuu ulioufanya ni uwizi na ushauri ni we kutafuta hiyo pesa ya watu ulipe basi hakuna cha ziada..
 
Nasomba yote kivip wakat najua mshahara unaingilia humohumo? Itmeans wakigundua tu wanapiga pini mshahara?

Mi mtu aliwahi kukosea akatuma laki 7 mpesa niliicha wakairudisha. Coz nilijua thamani ya line yangu na miamala ninayofanya basi nikitoa tu hela watu pindi nikiweka salio tu watapita nalo tu
Mkuu Kuna watu ni wapumbavu sana.. wanafikiri ile zamani watu walikuwa wanaokota fedha barabarani basi na unaweza okota fedha kwenye akaunti yako..

Hakuna fedha inayoweza potea bure kwenye transaction za kibenki. Wataitrace tu na wataipata.

Ule mwaka serikali imenunua Korosho kuna mkilima aliingiziwa kimakosa million 5, yule mkulima ile hela alijua si yake akaiacha zaidi ya miezi 8 na bado haikutolewa. Kuna wakati akapati shida akaingiwa tamaa akaitoa ile pesa, mwezi May tu hapa alikuwa na access ya 5m kwa account yake wakailamba chaap kuja kufatilia akaambiwa 2018 aliingiziwa hela kimakosa..

Hakuna hela ya bank inapotea hivihivi, na utakuja kuilipa kwa machungu na kudhalilika kama mdau anachokipitia hapa
 
Hauna lolote hata wewe naamini ungesepa nayo. Kwa watumishi wa umma wenye madai tofautitofauti ie. pesa ya likizo, mapunjo ya mishahara na kadharika, ni ujinga unapoona pesa imeingia kwa akaunti ujigeuze kachero uanze upelelezi. Lawama za namna hi ni za watu wenye uelewa mfinyu kuhusu mambo ya banking. Kwa nini usiilaumu bank kwa kuweka pesa ki makosa.
Banks zinadeal na transaction za mabilioni kwa siku, unashangaa petty errors kama hizi??

Mstaarabu angeenda chukua bank statement ajue ilikotokea hiyo pesa. Wewe unafikiria na over time na malimbikizo, umeshafikiria labda ni Boko Haram au Al Shabab ndio wamekuingizia balaa utakalopata??

Wabongo tunapenda mtelezo sana
 
Mkuu Kuna watu ni wapumbavu sana.. wanafikiri ile zamani watu walikuwa wanaokota fedha barabarani basi na unaweza okota fedha kwenye akaunti yako..

Hakuna fedha inayoweza potea bure kwenye transaction za kibenki. Wataitrace tu na wataipata.

Ule mwaka serikali imenunua Korosho kuna mkilima aliingiziwa kimakosa million 5, yule mkulima ile hela alijua si yake akaiacha zaidi ya miezi 8 na bado haikutolewa. Kuna wakati akapati shida akaingiwa tamaa akaitoa ile pesa, mwezi May tu hapa alikuwa na access ya 5m kwa account yake wakailamba chaap kuja kufatilia akaambiwa 2018 aliingiziwa hela kimakosa..

Hakuna hela ya bank inapotea hivihivi, na utakuja kuilipa kwa machungu na kudhalilika kama mdau anachokipitia hapa
Mkuu ninachoongea nakijua na kiliwahi kunitokea, nawashangaa wanaoona jamaa alichokifanya ni issue ya kawaida wakati ni kosa

Enzi hizo tuliokota hela za mchina kwenye cassino. Tukapita nazo tukaenda kula vyombo mbalii siku kama tatu mfululizo

Baada ya hapo kilichotukuta niliapa siji fanya ujanja ujanja kwenye hela mtu
 
Mkuu ninachoongea nakijua na kiliwahi kunitokea, nawashangaa wanaoona jamaa alichokifanya ni issue ya kawaida wakati ni kosa

Enzi hizo tuliokota hela za mchina kwenye cassino. Tukapita nazo tukaenda kula vyombo mbalii siku kama tatu mfululizo

Baada ya hapo kilichotukuta niliapa siji fanya ujanja ujanja kwenye hela mtu
Kama niliwahi kusikia habari hii!!!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kukopa TPB shs mil 1 zamani kidogo mwisho wa mwezi wa kwanza hola, hawakukata wa pili hola, nilikuwa naishi wilayani nikafunga safari hadi mkoani kuuliza kwa nini hawanikati? wakajifanya kushangaa eti ni mara chache kuona mdeni anajipeleka kwa hasira niliwaambia mmenivurugia malengo yangu maana nahitaji tena mkopo baada ya mwaka kuendelea na ujenzi wangu wa kimaskini wao wamenirudisha nyuma miezi miwili. Walisema siku ambayo wangegundua sikatwi wangekuwa wanakwangua yote nikale polisi.
 
Aisee mkuu nilikuwa nakuheshimu sana, umeenda shule lakini??

Wanaingilika?? We unafikiri zile hela ni za meneja wa tawi au afisa mikopo ee??
Na Mimi zaman nilikua kaoga Kama wewe...Nikujibu tu kuwa MKONO MTUPU HAULAMBWI!.. unalohisi wewe hapa nchin ni humu basi unajidanganya Sana..Tena mno!..kaa na watu vizuri boss
 
Sio unafki.. Ni taahira tu ambaye labda si mgeni kwenye mambo ya kibenki ndiye anaweza fanya huo ujinga..

Siku nyingine mtakuja kujikuta mnapewa kesi za kutakatisha fedha alafu mseme mnaonewa..


Inategemea mkuu..!hapa mjini dili chafu zipo
 
Mkuu sio kila mtu ana hizo tabia..

Kustaarabika na kuelimika ni pamoja na kuelewa hiyo hela kama sio halali yako itakuletea matatizo.


Hahhaaa mie unafiki sikuwezi..mie ningelita nazo mbele na ningesolve huku nimekaa fresh kbs..hebu tuwe real
 
Na Mimi zaman nilikua kaoga Kama wewe...Nikujibu tu kuwa MKONO MTUPU HAULAMBWI!.. unalohisi wewe hapa nchin ni humu basi unajidanganya Sana..Tena mno!..kaa na watu vizuri boss
We mpare unajikuta much know kumbe mweupe kabisaa..

U know nothing ngoja niishie hapa.
 
Back
Top Bottom