Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Ngoja nijaribu kukuelewa:-

1. Tayari una mkopo na NMB uliotokana na kuwauzia mkopo wa Loan Board.

2. Una deni na NMB kutokana na ku-overdrawal!

A. Nini jumla ya 1+2? Yaani Loan + -4,234,000 ?

Let's say total ni 10M.

Assuming hakuna hilo deni la -4,234,000, take home yako kwa sasa ni shilingi?! Kwa take home hiyo unaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi? Je, sheria yao ya ku-top up mkopo unaweza kufanya hivyo baada ya muda gani?

Hapo juu umeandika upo kwenye hiyo situation kwa zaidi ya miezi 8... kwa maana nyingine, tayari umeshafanya at least 8 installments kulipia mkopo wako! Katika hali ya kawaida, kufanya 8 installments tayari una-qualify kufanya topup!

Kama sheria yao inasema uwe umefanya at least 12 installments (one year) ndipo u-qualify kufanya topup basi kopa pesa pahala kisha ulipie installment zilizobaki ku-qualify top up!

Ukishafanya hivyo, omba top up ili kufuta hiyo -4,234,000, na hatimae utaanza kupokea mshahara wako though take home itakuwa ndogo kwa sababu kima cha mkopo kitakuwa kimeongezeka!!

Ukiona top up wanazingua, nenda benki nyingine kwa sababu deni la -4,234,000 halitatokea kwenye Salary Slip, na kwahiyo utakuwa na clean/competitive salary slip itakayokuwezesha kuchukua loan pengine!

Ukishapata loan kutoka benki nyingine, usiwe na tamaa, tumia pesa husika kulipa ile -4,234,000 ili ubaki na ule mkopo wa Board!!

NOTE: Maelezo yangu hayo ya juu yame-assume Tanzania hakuna Credit Bureau, na kama ipo basi haipo effective ingawaje pia nashawishika kuamini kwamba, hata kama ipo na iko effective, bado hiyo -4,234,000 haiwezi kuonekana kwenye credit bureau!!

NOTE 2: Vile vile jiridhishe kwanza ikiwa hiyo -4,234,000 ndo hasa ilitakiwa udaiwe kwa sababu kama walikuwa wazembe wa ku-CR mpunga wote kabla ya kukata chao, basi pia wanaweza kuwa wazembe kwa kufanya wrong computation ya nini hasa walitakuiwa kuchukua na kipi ulitakiwa kubaki nacho!
 
Nenda ofisi yaUtumishi katika halmashauri unayofanyia kazi KABADILISHE ACCOUNT YA MSHAHARA ikiwezekana fungua account CRDB. Kwasababu wao hawana uwezo wa kukata mshahara kwa kiwango cha kuzidi 1/3 isipokua account yako ya NMB wanasubiri mshahara uingie ndio wakate yaani pesa ikiingia tu kwenye account yako inakatwa moja kwa moja. Hivyo fungua account katika benk nyingine.
 
Ngoja nijaribu kukuelewa:-
1. Tayari una mkopo na NMB uliotokana na kuwauzia mkopo wa Loan Board.

2. Una deni na NMB kutokana na ku-overdrawal!

A. Nini jumla ya 1+2? Yaani Loan + -4,234,000 ?

Let's say total ni 10M.

Assuming hakuna hilo deni la -4,234,000, take home yako kwa sasa ni shilingi?! Kwa take home hiyo unaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi? Je, sheria yao ya ku-top up mkopo unaweza kufanya hivyo baada ya muda gani?

Hapo juu umeandika upo kwenye hiyo situation kwa zaidi ya miezi 8... kwa maana nyingine, tayari umeshafanya at least 8 installments kulipia mkopo wako! Katika hali ya kawaida, kufanya 8 installments tayari una-qualify kufanya topup!

Kama sheria yao inasema uwe umefanya at least 12 installments (one year) ndipo u-qualify kufanya topup basi kopa pesa pahala kisha ulipie installment zilizobaki ku-qualify top up!

Ukishafanya hivyo, omba top up ili kufuta hiyo -4,234,000, na hatimae utaanza kupokea mshahara wako though take home itakuwa ndogo kwa sababu kima cha mkopo kitakuwa kimeongezeka!!

Ukiona top up wanazingua, nenda benki nyingine kwa sababu deni la -4,234,000 halitatokea kwenye Salary Slip, na kwahiyo utakuwa na clean/competitive salary slip itakayokuwezesha kuchukua loan pengine!

Ukishapata loan kutoka benki nyingine, usiwe na tamaa... tumia pesa husika kulipa ile -4,234,000 ili ubaki na ule mkopo wa Board!!

NOTE: Maelezo yangu hayo ya juu yame-assume Tanzania hakuna Credit Bureau, na kama ipo basi haipo effective ingawaje pia nashawishika kuamini kwamba, hata kama ipo na iko effective, bado hiyo -4,234,000 haiwezi kuonekana kwenye credit bureau!!

NOTE 2: Vile vile jiridhishe kwanza ikiwa hiyo -4,234,000 ndo hasa ilitakiwa udaiwe kwa sababu kama walikuwa wazembe wa ku-CR mpunga wote kabla ya kukata chao, basi pia wanaweza kuwa wazembe kwa kufanya wrong computation ya nini hasa walitakuiwa kuchukua na kipi ulitakiwa kubaki nacho!!
Mkuu, ebu msome tena.

1. Alikuwa na mkopo NMB
2. Akaomba pia awauzie mkopo wa Loan board
3. Hiyo miezi 8 ni miezi ambayo mshahara wake unakadiriwa kuwa utashikiliwa
 
Pia kwa nawaza hiyo mil 4 waliyokuzidishia kwa nn wasiiongeze kwenye deni kuu ili deni liongezeke kufika mil 21. Makato yaongezeke au uongeze muda pia lakini uendelee kupata mshahara
 
Mkuu, ebu msome tena.

1. Alikuwa na mkopo NMB
2. Akaomba pia awauzie mkopo wa Loan board
3. Hiyo miezi 8 ni miezi ambayo mshahara wake unakadiriwa kuwa utashikiriwa
Alichosema ni kwamba, kabla hajawauzia mkopo kutoka Loan Board, alikuwa na mkopo wa NMB! Baada ya kuwauzia mkopo, aka-top up, na kiwango alichopata kutokana na ku-top up, akabakiwa na TOTAL LOAN X (NMB + Board Loan) na mwenyewe alitarajia angebakiwa na Sh. 5,660,000/=

Lakini kwavile ali-overdrawal, akajikuta ana DENI la Sh. 4,234,000... huu sio mkopo bali deni!

Ndo maana nikasema jumla ya pesa anayodaiwa ni ule mkopo uliotokana na kuwauzia deni la Loan Board ambao ulichanganywa na mkopo wa NMB + TZS 4,234,000 .

Hii 4,234,000 haiwezi kutokea kwenye salary sleep, na ndio maana akaunti yako ina negative balance ili mshahara ukiingia according to salary sleep, automatically utakatwa na system... I bet system itakuwa set kwamba kila ikifika tarehe fulani, itungue utakaoingia kwenye akaunti! Kwahiyo hapo uingie mshahara au pesa kutoka chanzo chochote kile, itatunguliwa juu kwa juu unless hiyo pesa/mshahara iwe imeingia b4 a set date!

Kuhusu hiyo miezi 8, naona hajaweka bayana, manake amesema tu kwamba "... na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. " Sasa kama anachomaanisha imebaki zaidi ya miezi 8 deni kwisha, ina maana hadi mwezi huu atakuwa tayari ameshalipa miezi 6 kwa sababu alichukua loan mwezi wa 2.

Hapo pia, ktk mazingira ya kawaida anaweza kufanya top up kama ameshalipa 6 installments. Top up atakayofanya sio ya hiyo TZS 4,234,000 bali ya ule mkopo wake! Sasa akifanyashafanya top up, ile surplus ndiyo ataitumia ku-clear deni la TZS 4,234,000.

Kutegemea na mshahara wake, hiyo surplus baada ya top up inaweza kufuta deni lote la 4,234,000 au sehemu yake! Na kama atabaniwa kufanya top up kwa kuona ule mkopo wake rasmi hajalipa kwa kiasi kinachompa sifa ya ku-top up basi anaweza kwenda benki nyingine kwa sababu salary slip yake haitaonesha deni la 4,232,000.
 
Pia kwa nawaza hiyo mil 4 waliyokuzidishia kwa nn wasiiongeze kwenye deni kuu ili deni liongezeke kufika mil 21. Makato yaongezeke au uongeze muda pia lakini uendelee kupata mshahara
Wakifanya hivyo kuna uwezekano waka-violate sheria za BoT zinazotaka makato ya mfanyakazi yasizidi 1/3 ya take home.
 
Hupendi kuulizwa kwann eti??😀😀😀
Mleta mada umenichekesha, STRESS ya madeni yangu imepungua!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
" NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu"

1.Hii hela (5,660,000) waliyokupigia hesabu kwamba utabaki nayo baada ya wao kukata madeni yao yote ikowapi?

2.Na kama walikupigia hesabu wao,kwenye fomu ya mkataba ni lazima iandikwe hivyo,Je IPO hivyo? Kama imeandikwa kwenye mkataba kosa ni lao hivyo hawapaswi kushikilia hela yako kabisa.

3. Makao makuu uliongea na nani?kama ni wale wa huduma kwa wateja wengi hawana uelewa wale,kwa ishu tata kama hizi utaishia kupewa majibu rahisi tu kama waliyokupa.

4."Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote"
Hapa kosa lako wewe ni nini?si uliambiwa utabaki na 5,660,000?

5."lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali)" hapa ulikubali nini mbona unajichanganya wewe mwenyewe?

Hitimisho:

Ukijibu hayo maswali tuyajua tatizo liko wapi,maana kuna vitu naona umejichangaya hatuelewi lakini nikushauri tu,

Andika barua kwa mwajiri(ambaye ndiye mdhamini wako) wako kuelezea tatizo lako ukiweka na uthibitisho wa bank statement,mkataba wa mkopo nk ili yeye aiandike bank rasmi.

Kingine piga huduma kwa wateja(ila usiwaeleze tatizo tena) waombe contact za Idara ya mikopo ya wafanyakazi,ongea na mkuu wa Idara kisha tuma malalamiko yako kwa email(yakiwa na ushahidi,pamoja na barua uliyopeleka kwa wajiri na benki) kopi iende kwa MD au CFO,maana naamini hio barua unayosema umendika umepeleka tawini,ambapo kama kosa ni lao hio inaishia kwa Meneja tu ili nao wawe salama,kwa hatua hizi utapata majibu ya Uhakika.

Kila la Heri.
 
Pia kwa nawaza hiyo mil 4 waliyokuzidishia kwa nn wasiiongeze kwenye deni kuu ili deni liongezeke kufika mil 21. Makato yaongezeke au uongeze muda pia lakini uendelee kupata mshahara
Kama amechukua maximum loan sheria ya BOT hairuhusu kukopea zaidi ya ⅓ ya mshahara wake,ndio maana hata hilo deni tajwa wamembania kwenye akaunti sio kwenye salary slip
 
Kwanini ulishindwa kuwa mwaminifu? Miamala yote ya bank inaacha footprint hivyo hauwezi kuwaibia hata siku moja.

Mimi niliwahi kuingiziwa mishahara miwili kwa mkupuo, nikaamua kuiacha baada ya siku tatu wakairudisha kwao ile moja na kunipigia simu kunitaarifu.

Hapo inabidi upambane na hiyo negative milioni kadhaa hadi iishe.
 
Ngoja nijaribu kukuelewa:-
1. Tayari una mkopo na NMB uliotokana na kuwauzia mkopo wa Loan Board.

2. Una deni na NMB kutokana na ku-overdrawal!

A. Nini jumla ya 1+2? Yaani Loan + -4,234,000 ?

Let's say total ni 10M.

Assuming hakuna hilo deni la -4,234,000, take home yako kwa sasa ni shilingi?! Kwa take home hiyo unaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi? Je, sheria yao ya ku-top up mkopo unaweza kufanya hivyo baada ya muda gani?

Hapo juu umeandika upo kwenye hiyo situation kwa zaidi ya miezi 8... kwa maana nyingine, tayari umeshafanya at least 8 installments kulipia mkopo wako! Katika hali ya kawaida, kufanya 8 installments tayari una-qualify kufanya topup!

Kama sheria yao inasema uwe umefanya at least 12 installments (one year) ndipo u-qualify kufanya topup basi kopa pesa pahala kisha ulipie installment zilizobaki ku-qualify top up!

Ukishafanya hivyo, omba top up ili kufuta hiyo -4,234,000, na hatimae utaanza kupokea mshahara wako though take home itakuwa ndogo kwa sababu kima cha mkopo kitakuwa kimeongezeka!!

Ukiona top up wanazingua, nenda benki nyingine kwa sababu deni la -4,234,000 halitatokea kwenye Salary Slip, na kwahiyo utakuwa na clean/competitive salary slip itakayokuwezesha kuchukua loan pengine!

Ukishapata loan kutoka benki nyingine, usiwe na tamaa... tumia pesa husika kulipa ile -4,234,000 ili ubaki na ule mkopo wa Board!!

NOTE: Maelezo yangu hayo ya juu yame-assume Tanzania hakuna Credit Bureau, na kama ipo basi haipo effective ingawaje pia nashawishika kuamini kwamba, hata kama ipo na iko effective, bado hiyo -4,234,000 haiwezi kuonekana kwenye credit bureau!!

NOTE 2: Vile vile jiridhishe kwanza ikiwa hiyo -4,234,000 ndo hasa ilitakiwa udaiwe kwa sababu kama walikuwa wazembe wa ku-CR mpunga wote kabla ya kukata chao, basi pia wanaweza kuwa wazembe kwa kufanya wrong computation ya nini hasa walitakuiwa kuchukua na kipi ulitakiwa kubaki nacho!!
Asante mkuu,

Sijasema Niko kwenye Hali hii kwa miezi 8 , namaanisha nisipofanya chochote watashikilia mshahara kwa miezi iyo 8,
Kingine bado makato mapya hayajaingizwa na vile vile Kuna tofauti kabisa ya Deni la bodi ambalo lipo kwenye fomu na hili Deni ambalo wameweka kwenye akaunti
 
" NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu"

1.Hii hela (5,660,000) waliyokupigia hesabu kwamba utabaki nayo baada ya wao kukata madeni yao yote ikowapi?

2.Na kama walikupigia hesabu wao,kwenye fomu ya mkataba ni lazima iandikwe hivyo,Je IPO hivyo? Kama imeandikwa kwenye mkataba kosa ni lao hivyo hawapaswi kushikilia hela yako kabisa.

3. Makao makuu uliongea na nani?kama ni wale wa huduma kwa wateja wengi hawana uelewa wale,kwa ishu tata kama hizi utaishia kupewa majibu rahisi tu kama waliyokupa.

4."Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote"
Hapa kosa lako wewe ni nini?si uliambiwa utabaki na 5,660,000?

5."lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali)" hapa ulikubali nini mbona unajichanganya wewe mwenyewe?

Hitimisho:

Ukijibu hayo maswali tuyajua tatizo liko wapi,maana kuna vitu naona umejichangaya hatuelewi lakini nikushauri tu,

Andika barua kwa mwajiri(ambaye ndiye mdhamini wako) wako kuelezea tatizo lako ukiweka na uthibitisho wa bank statement,mkataba wa mkopo nk ili yeye aiandike bank rasmi.

Kingine piga huduma kwa wateja(ila usiwaeleze tatizo tena) waombe contact za Idara ya mikopo ya wafanyakazi,ongea na mkuu wa Idara kisha tuma malalamiko yako kwa email(yakiwa na ushahidi,pamoja na barua uliyopeleka kwa wajiri na benki) kopi iende kwa MD au CFO,maana naamini hio barua unayosema umendika umepeleka tawini,ambapo kama kosa ni lao hio inaishia kwa Meneja tu ili nao wawe salama,kwa hatua hizi utapata majibu ya Uhakika.

Kila la Heri.
Asante
 
Ngoja nijaribu kukuelewa:-
1. Tayari una mkopo na NMB uliotokana na kuwauzia mkopo wa Loan Board.

2. Una deni na NMB kutokana na ku-overdrawal!

A. Nini jumla ya 1+2? Yaani Loan + -4,234,000 ?

Let's say total ni 10M.

Assuming hakuna hilo deni la -4,234,000, take home yako kwa sasa ni shilingi?! Kwa take home hiyo unaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi? Je, sheria yao ya ku-top up mkopo unaweza kufanya hivyo baada ya muda gani?

Hapo juu umeandika upo kwenye hiyo situation kwa zaidi ya miezi 8... kwa maana nyingine, tayari umeshafanya at least 8 installments kulipia mkopo wako! Katika hali ya kawaida, kufanya 8 installments tayari una-qualify kufanya topup!

Kama sheria yao inasema uwe umefanya at least 12 installments (one year) ndipo u-qualify kufanya topup basi kopa pesa pahala kisha ulipie installment zilizobaki ku-qualify top up!

Ukishafanya hivyo, omba top up ili kufuta hiyo -4,234,000, na hatimae utaanza kupokea mshahara wako though take home itakuwa ndogo kwa sababu kima cha mkopo kitakuwa kimeongezeka!!

Ukiona top up wanazingua, nenda benki nyingine kwa sababu deni la -4,234,000 halitatokea kwenye Salary Slip, na kwahiyo utakuwa na clean/competitive salary slip itakayokuwezesha kuchukua loan pengine!

Ukishapata loan kutoka benki nyingine, usiwe na tamaa... tumia pesa husika kulipa ile -4,234,000 ili ubaki na ule mkopo wa Board!!

NOTE: Maelezo yangu hayo ya juu yame-assume Tanzania hakuna Credit Bureau, na kama ipo basi haipo effective ingawaje pia nashawishika kuamini kwamba, hata kama ipo na iko effective, bado hiyo -4,234,000 haiwezi kuonekana kwenye credit bureau!!

NOTE 2: Vile vile jiridhishe kwanza ikiwa hiyo -4,234,000 ndo hasa ilitakiwa udaiwe kwa sababu kama walikuwa wazembe wa ku-CR mpunga wote kabla ya kukata chao, basi pia wanaweza kuwa wazembe kwa kufanya wrong computation ya nini hasa walitakuiwa kuchukua na kipi ulitakiwa kubaki nacho!!
Credit bureau ipo Tanzania.
Na inafanya kazi.
Bank zote hawatoi mkopo mpaka wakucheck huko crb ndo process zinaanza.
 
Back
Top Bottom