Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Binamu yangu alifariki mwezi wa tatu mwaka huu binti mdogo tu miaka 25 kisa amegoma kutumia ARVs. Alikomaa sana na mlo kamili,mboga mboga lakini wapi,mwisho wa siku nimeenda kumuona akaniomba nimtunzie mwanae wa miaka 7. Siku 2 baadae akafariki,usipoanza dawa pasaka ijayo hufiki.

Achana na wanafiki,wazushi wanaokwambia usianze ARVs,zitakusaidia wewe kuishi ukiwa na afya njema lakini pia zitapunguza uwezekano wa wewe kuwaambukiza wengine. Good luck.
Uongo mtupu
 
Mimi naomba nikuulize swali hapa mkuu.
Wakati ukimwi unaingia TZ ulianzia Kagera. Wakati huo hakuna aliyekuwa na taarifa juu yake. Watu wakaunasa wakakonda wakaisha hadi wahaya wakauita slim kutoka neno la kingeereza kwa kuwa watu walikuwa wanakonda mtu hata akilala kitandani haonekani.
Lakini wakati huo hata ARV hazikuwepo, so watu hawakuwa wakitumia ARV lakini bado walikonda na wakafa. Kuna maeneo kama kiziba hadi nyumba zilifungwa unakuta mama, baba, mjomba wamekufa wote.
Sasa kitu gani kilifanya watu wapukutike wakati ARV hazikuwepo?
Na baada ya ARV kuwepo watu wakapungua kufa na wengine wakaishi na kufa wakiwa na miili yao.
Nina kaka yangu huu ni mwaka wa 17 anatumia ARV and yuko poa huwezi hata jua.
Nachotaka unieleweshe, ni kwanini kabla ya ARV ambayo umadai ni sumu bado watu walikuwa wanakonda na kufa vibaya sana.
Mind you siko hapa kukupinga ila nataka nipate elimu
Hizo stori za Kagera ni za kutengenezwa. Ni propaganda.

UKIMWI umetengenezewa mapropaganda mengi tu yanayofanana na hayo.

Hata sasa watu wanaendelea kukonda. Lishe duni, unyafuzi, parasitosis, na mengine mengi yanasababisha ukondefu. Na hizo ARV ndio chanzo kikuu cha wagonjwa kukonda zaidi na zaidi maana ZINAMOMONYOA FUTA LINALOKAA CHINI YA NGOZI (FAT).

Mapropaganda ya kagera ni uchafu kama ulivyo uchafu wa ARV.
 
Hapa nahisi harufu ya jamaa mmoja
akijiita Deception huyo jamaa km jina lake lilivyo alikuwa km uyu tu akitoa majibu mepesimepesi kwa maswali magumu yanayohitaji maelezo ya kisayansi yeye akijibu kwa majibu mepesi, yaliyojaa kejeli na kukosa staha km huyu BICHWA KOMWE - tu tena bila hata ushahidi wowote ule wa kimantiki au hata uo wa google. sishashangai anaweza kuwa ni yeye uyu amebadili jina tu maana ilo halishindikani.

ndugu mleta uzi kama ni kweli upo ktk hali uliyoisema basi jua kuwa unaelekea ndiko siko.

hapa haitasaidia kukupamba. Wewe jikubali hali uliyonayo na uanze arv kwa chap sana. Acha kuskiza porojo za umu. Utapotea mazma uache simanzi kubwa kwa wanaokutegemea. nenda hospitali upate matibabu utakuwa sawa tu.

ukichelewa zaidi unaongeza uwezekano wa kupata mashambulizi ya wadudu kwenye ubongo na ikifika apo ni ngumu sana kupona.
Ukweli unauma haswaa, ni kama vile kupasuliwa jipu la kwenye wowowo. Lazima upige ukunga wa haja.

Nipo hapa kupasua ukweli tu na kuchekecha akili za makanjanja wa shule za kata.

Mtu akishakariri kariri MANOTES UCHWARA YA SHULE YA KATA na yeye anajitia mjuvi kwa kurudia rudia kutamka maelezo batili kama KASUKU.

Nawatafuta sana wale WARUDUFISHAJI WA MAELEZO au MAKASUKU (REPETITORS), hao ndio shabaha yangu ya mashambulizi ya kimkakati.

Na ninawajulia kweli kweli. Kila upuuzi wao wa KIKASUKU nitaujibu kwa NGUVU STAHIKI inayojitosheleza.
 
moja ya comment mbaya kuiona hapa jf, ana dhihaki wengine.
MAKANJANJA wanaolisha watu sumu lazima wapasuliwe virabatumbo vyao vilivyojaa chakula cha ufisadi.

Hauwezi kununua gari kwa fedha za kuuzia watu sumu na machanjo. Ni UHALIFU.

Mnatajirika sana kwa kuuza masumu na machanjo uchwara, sasa upuuzi wenu umefika tamati. Mtakula ubuyu na kashata.

Tutafunua faili moja hadi lingine mpaka tuwafikie huko kwenye vichuguu mlipojificha. Na tutavunja hayo magenge yenu ya ARV.
 
Hizo stori za Kagera ni za kutengenezwa. Ni propaganda.

UKIMWI umetengenezewa mapropaganda mengi tu yanayofanana na hayo.

Hata sasa watu wanaendelea kukonda. Lishe duni, unyafuzi, parasitosis, na mengine mengi yanasababisha ukondefu. Na hizo ARV ndio chanzo kikuu cha wagonjwa kukonda zaidi na zaidi maana ZINAMOMONYOA FUTA LINALOKAA CHINI YA NGOZI (FAT).

Mapropaganda ya kagera ni uchafu kama ulivyo uchafu wa ARV.
Mkuu sasa hapa ndipo shida ilipo. Unasema ni story za kutengeneza wakati nimeshuhudia hiki kitu hasa mwanzoni mwa miaka ya 90 mkuu. Sio kwamba ni story nimeadithiwa na mtu lakini ni kitu ambacho nimeshuhudia familia inapukutika nyumba zinafungwa na hapo taarifa juu ya hiv na arv hazikuwepo.
Na nimekwambia nina ndugu yangu kabisa yeye alikuwa kagoma kutumia ARV na sisi hatukujua kama ana HIV. Kuna muda aliumwa sana ndipo tukajua na alipoanzishiwa dozi hali yake ikaanza kuwa sawa na leo ni zaidi ya miaka 17 jamaa anadunda tu.
Sasa hapa ndipo nakuuliza, ni kitu gani kilifanya zile familia zife wakati hata hiyo ARV haikuwepo na ni kitu gani kilimfanya bro wangu aumwe kabla ya kuanza kutumua ARV na apate ahueni baada ya kutumia ARV?
 
Mkuu sasa hapa ndipo shida ilipo. Unasema no story za kutengeneza wakati nimeshuhudia hiki kitu hasa mwanzoni mwa miaka ya 90 mkuu. Sio kwamba ni story nimeadithiwa na mtu lakini ni kitu ambacho nimeshuhudia familia inapukutika nyumba zinafungwa na hapo taarifa juu ya hiv na arv hazikuwepo.
Na nimekwambia nina ndugu yangu kabisa yeye alikuwa kagoma kutumia ARV na sisi hatukujua kama ana HIV. Kuna muda aliumwa sana ndipo tukajua na alipoanzishiwa dozi hali yake ikaanza kuqa saqa na leo ni zaidi ya miaka 17 jamaa anadunda tu.
Sasa hapa ndipo nakuuliza, ni kitu gani kilifanya zile familia zife wakati hata hiyo ARV haikuwepo na ni kitu gani kilimfanya bro wangu aumwe kabla ya kuanza kutumua ARV na apate ahueni baada ya kutumia ARV?
Huu ni UCHAFU ambao unafanana sana na UCHAFU WA ARV.

Mimi nina macho saba, hata muandiko wako tu unaashiria ukanjanja na udanganyifu.

Ninachokueleza ni kimoja tu, ARV ni SUMU. Hakuna mtu anayepona ugonjwa kwa kumeza SUMU.

SUMU haiponyi, inaangamiza mwili. Hiyo ndiyo ELIMU THABITI ninayoitambua.

Kama kuna ELIMU inayosema kwamba SUMU INAPONYA, bila shaka hiyo ni ELIMU iliyotoka kwenye NOTES ZA SHULE YA KATA.

Hilo ulipigie mstari.
 
Huu ni UCHAFU ambao unafanana sana na UCHAFU WA ARV.

Mimi nina macho saba, hata muandiko wako tu unaashiria ukanjanja na udanganyifu.

Ninachokuleza ni kimoja tu, ARV ni SUMU. Hakuna mtu anayepona ugonjwa kwa kumeza SUMU.

SUMU haiponyi, inaangamiza mwili. Hiyo ndiyo ELIMU THABITI ninayoitambua.

Kama kuna ELIMU inayosema kwamba SUMU INAPONYA, bila shaka hiyo ni ELIMU iliyotoka kwenye NOTES ZA SHULE YA KATA.

Hilo ulipigie mstari.
Ushahamia kwenye mwandiko tena...
Nimekuuliza swali umeshindwa kujibu. Achana na propaganda maana nilochokuuliza ni kitu ambacho nimeshuhudia mwenyewe na ndio maana katoka mikoa yote nimekupa mkoa wa Kagera kwa sababu nimeshuhudia na ni kwetu nimezaliwa nimesoma nikakulia huko.
Hijanijibu swali. Nauliza tena.
Ni jambo gani lilifanya familia zipuputike hata kabla ya watu kujua kuwa HIV na ARV ambazo unaziita sumu zilikuwa bado kati ya miaka 80 na 90 na baada ya hapo kuja kwa ARV watu wenye HIV wakaanza kuisho kwa muda mrefu?
Badala ya kunishambulia jibu kitaalam au sema kuwa huna jibu.
 
Mkuu sasa hapa ndipo shida ilipo. Unasema no story za kutengeneza wakati nimeshuhudia hiki kitu hasa mwanzoni mwa miaka ya 90 mkuu. Sio kwamba ni story nimeadithiwa na mtu lakini ni kitu ambacho nimeshuhudia familia inapukutika nyumba zinafungwa na hapo taarifa juu ya hiv na arv hazikuwepo.
Na nimekwambia nina ndugu yangu kabisa yeye alikuwa kagoma kutumia ARV na sisi hatukujua kama ana HIV. Kuna muda aliumwa sana ndipo tukajua na alipoanzishiwa dozi hali yake ikaanza kuqa saqa na leo ni zaidi ya miaka 17 jamaa anadunda tu.
Sasa hapa ndipo nakuuliza, ni kitu gani kilifanya zile familia zife wakati hata hiyo ARV haikuwepo na ni kitu gani kilimfanya bro wangu aumwe kabla ya kuanza kutumua ARV na apate ahueni baada ya kutumia ARV?
Akikupa jibu la kueleweka nitag.
 
Ushahamia kwenye mwandiko tena...
Nimekuuliza swali umeshindwa kujibu. Achana na propaganda maana nilochokuuliza ni kitu ambacho nimeshuhudia mwenyewe na ndio maana katoka mikoa yote nimekupa mkoa wa Kagera kwa sababu nimeshuhudia na ni kwetu nimezaliwa nimesoma nikakulia huko.
Hijanijibu swali. Nauliza tena.
Ni jambo gani lilifanya familia zipuputike hata kabla ya watu kujua kuwa HIV na ARV ambazo unaziita sumu zilikuwa bado kati ya miaka 80 na 90 na baada ya hapo kuja kwa ARV watu wenye HIV wakaanza kuisho kwa muda mrefu?
Badala ya kunishambulia jibu kitaalam au sema kuwa huna jibu.
Stori tu hizi ambazo hazina ITHIBATI wala TAKWIMU.

Huyo mjomba wako alikuwa ana magonjwa yake tu labda TUBERCULOSIS na mengineyo kama GONOREA na KASWENDE.

Muulize vizuri.
 
Anakimbia kimbia fuatilia majibu aliyonipa hadi ameanza sema mwandiko wangu unaonyesha nasambaza propaganda nilichoadika hakina ukweli
Mimi nimeshamaliza.

Na sentensi yangu ya mwisho ni hii, SUMU HAIWEZI KUPONYA MWILI.

Mwisho wa maelezo.
 
Stori tu hizi ambazo hazina ITHIBATI wala TAKWIMU.

Huyo mjomba wako alikuwa ana magonjwa yake tu labda TUBERCULOSIS na mengineyo kama GONOREA na KASWENDE.

Muulize vizuri.
Sasa wewe ndiye una assume mambo. Na nimesoma majibu yako hakuna sehemu hata moja umejibu kitaalam. Yani unasema ARV ni sumu na inaua ila yani huna maelezo ya kitaalam ya kuonyesha ni nini konatokea mpaka mtu anaambiwa ana HIV kwanini asitumie ARV.
I am sure wewe ni kato ya watu ambao mmetazama sana videos za Youtube na kusoma documents nyingi za wanaoamini HIV ni mradi, ila sema hata uliyoyasoma hujaelewa ndio maana hata kuyaeleza huwezi umeishia kutumia tu neno propaganda, progapanda sijui mradi wa kuuza ARV.
Ndio maana hata swali nililokuuliza huna jibu la kueleweka.
Unakuwa kama Steve Jobs, steve jobs alibiwa ana cancer afanyiwe operation mapema akawa mbishi kisa alikuwa naye kasoma kuwa akila sijui vyakula gani atapóna. Akafuata hizo diet zake maana mind you he was rich na alikuwa anadhani ni mwerevu kuliko watu wote. Kuja kugundua cancer imesambaa na hizo diet hazimsaidii. Anataka kufanya operation tayari cancer imesambaa na hakuna linaloweza kumsaidia, akafa mapema tu.
Inawezekana una hoja, una point lakini au hujui kutetea hoja yako maana hakuna point yoyote yenye maelezo ya kitaalam uliyotoa, au una general knowledge ya vitu ambavyo umesoma.mtandaoni huwezi hata vitetea.
Hivyo kama una kitu unafahamu weka wazi eleza kitaalam kwa kunijibu kitaalam kuliko kusema sijui mjomba wangua sijui alikuwa na TB sijui gono... Tb na gonorea tayari zilikuwa zinafahamika na dawa zilikuwepo....
 
Sasa wewe ndiye una assume mambo. Na nimesoma majibu yako hakuna sehemu hata moja umejibu kitaalam. Yani unasema ARV ni sumu na inaua ila yani huna maelezo ya kitaalam ya kuonyesha ni nini konatokea mpaka mtu anaambiwa ana HIV kwanini asitumie ARV.
I am sure wewe ni kato ya watu ambao mmetazama sana videos za Youtube na kusoma documents nyingi za wanaoamini HIV ni mradi, ila sema hata uliyoyasoma hujaelewa ndio maana hata kuyaeleza huwezi umeishia kutumia tu neno propaganda, progapanda sijui mradi wa kuuza ARV.
Ndio maana hata swali nililokuuliza huna jibu la kueleweka.
Unakuwa kama Steve Jobs, steve jobs alibiwa ana cancer afanyiwe operation mapema akawa mbishi kisa alikuwa naye kasoma kuwa akila sijui vyakula gani atapóna. Akafuata hizo diet zake maana mind you he was rich na alikuwa anadhani ni mwerevu kuliko watu wote. Kuja kugundua cancer imesambaa na hizo diet hazimsaidii. Anataka kufanya operation tayari cancer imesambaa na hakuna linaloweza kumsaidia, akafa mapema tu.
Inawezekana una hoja, una point lakini au hujui kutetea hoja yako maana hakuna point yoyote yenye maelezo ya kitaalam uliyotoa, au una general knowledge ya vitu ambavyo umesoma.mtandaoni huwezi hata vitetea.
Hivyo kama una kitu unafahamu weka wazi eleza kitaalam kwa kunijibu kitaalam kuliko kusema sijui mjomba wangua sijui alikuwa na TB sijui gono... Tb na gonorea tayari zilikuwa zinafahamika na dawa zilikuwepo....
Sijui kama unajua kusoma na kuandika?

SUMU HAIWEZI KUPONYA MWILI, FULL STOP.

Siwajibiki kutoa maelezo, ushahidi au kiambatanisho chochote.

Kama unataka ushahidi utasubiri sana, huo ushahidi sina hata mmoja, lakini ninachojua ni kimoja tu, SUMU HAIONJWI.
 
Back
Top Bottom