Naombeni msaada wa maarifa ya kiroho

Naombeni msaada wa maarifa ya kiroho

Dasvidaniya

Senior Member
Joined
Sep 17, 2024
Posts
194
Reaction score
671
Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good

Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho

Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana jr DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini


Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu

NB: Mimi ni jobless
 
Ninacho kitabu cha Siri nyingi sana za hapa duniani..

Ila iki kitabu kule mikoanu nauzaga 20000. Cash.
Ila wewe kwa kuwa ni mwanachama mwenzangu takupa kwa bei la punguzo kwa shilingi alfu tano tu...

Hiki kitabu kimebadilisha wengi sana ikiwemo hao wote ulio wataja.

Sina mengi kama umewiwa njo pm
 
Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good

Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho

Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini


Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu

NB: Mimi ni jobless
Achana na ushirikina huo!!!
 
Usichokijua hiyo unayoiita knowledge ni ushirikina sawa tu na uchawi
Kwahiyo mkuu unamaanisha mtu kuwa na knowledge hizo ni mchawi?? Kujua kuhusu meditation ndio nimekuwa mchawi??

Daah kuamini ushirikina kupitiliza madhara yake ndio haya sasa kila kitu unaona ni uchawi tu
 
Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good

Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho

Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana jr DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini


Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu

NB: Mimi ni jobless
una biblia?
 
Kwahiyo mkuu unamaanisha mtu kuwa na knowledge hizo ni mchawi?? Kujua kuhusu meditation ndio nimekuwa mchawi??

Daah kuamini ushirikina kupitiliza madhara yake ndio haya sasa kila kitu unaona ni uchawi tu
Utaanza kidogokidogo leo meditation kesho kufungua jicho la tatu mara kutoka nje ya mwili na kusafiri kwa roho.
Mwisho utaambiwa kuna siri ukiijua unakuwa na nguvu kama malaika
 
Utaanza kidogokidogo leo meditation kesho kufungua jicho la tatu mara kutoka nje ya mwili na kusafiri kwa roho.
Mwisho utaambiwa kuna siri ukiijua unakuwa na nguvu kama malaika
Mkuu siwezi fika huko najua limit nataka kujua namna ya kujilinda kiroho zaidi maana kuna mengi napitia
 
Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good

Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho

Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana jr DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini


Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu

NB: Mimi ni j

Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good

Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho

Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana jr DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini


Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu

NB: Mimi ni jobless
Be specific. Unataka kujua masuala ya kiroho ya upande gani? Maana mambo ya kiroho yapo aina mbili tu. Mambo ya kiroho ya upande wa Mungu na ya upande wa shetani. Nakushauri tafuta mambo ya kiroho ya Mungu aliyehai ambayo yanapatikana kwenye Biblia. Ukianza kutafuta ya upande wa giza utapatablakini matokeo yake ni mauti.
 
Mkuu siwezi fika huko najua limit natamna namna ya kujilinda kiroho zaidi maana kuna mengi napitia
Utasema huwezi fika huko mara unanogewa,utataka uende mbinguni eti kwa namna ya kiroho.
"SHAURI YAKO."
 
Be specific. Unataka kujua masuala ya kiroho ya upande gani? Maana mambo ya kiroho yapo aina mbili tu. Mambo ya kiroho ya upande wa Mungu na ya upande wa shetani. Nakushauri tafuta mambo ya kiroho ya Mungu aliyehai ambayo yanapatikana kwenye Biblia. Ukianza kutafuta ya upande wa giza utapatablakini matokeo yake ni mauti.
Natafuta yale ya upande wa nuruni(Mungu) sema bible mafumbo ni mengi sana hadi basi
 
Back
Top Bottom