Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Masuala ya nuruni ndo meditation na third eye?Natafuta yale ya upande wa nuruni(Mungu) sema bible mafumbo ni mengi sana hadi basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masuala ya nuruni ndo meditation na third eye?Natafuta yale ya upande wa nuruni(Mungu) sema bible mafumbo ni mengi sana hadi basi
Kwani meditation na third eye ni ya gizani? Kwa uelewa wangu meditation ni tahajudi yaani kutafakari kwa kina sasa inaingiaje kwenye giza mkuuMasuala ya nuruni ndo meditation na third eye?
Subiri waje wakuelezee kwa kina kisha utafakari mwenyeweKwani meditation na third eye ni ya gizani? Kwa uelewa wangu meditation ni tahajudi yaani kutafakari kwa kina sasa inaingiaje kwenye giza mkuu
Lengo ni kujilinda kiroho na kuweza kumtambua adui mkuu maana hii dunia ina mengi sanaMwamba kuhusu meditation Ile ina sura mbili ila kuwa makini .unaweza kujikuta umekuwa sangoma ghafra bila kutarajia ila muhimu tuambie huu Masada Una malengo gani maana siku hiz hadi NEC ya CCM uchawa unasikika Kwa frequency za juu.
Tafuta Hela mkuu hayo mambo ni magonjwa ya walio na Hela za kutosha wakakosa kazi za kufanya na hizo Hela au waliokata tamaa hence wanataka waonane na Mungu wamuulize why me!!?Habari za usiku huu wakuu natumai mpo good
Mimi kama kijana wenu tangu nijiunge JF hii ni mara yangu ya tatu naanzisha uzi na ni mara ya kwanza kuomba msaada wa maarifa ya kiroho
Nimekuwa nikifatilia sana mada za kiroho na vitu kama hivyo kwa mda na members kama kina mshana jr DR Mambo Jambo Rakims Pascal Mayalla na wengineo kutokana na uelewa wangu mdogo imekuwa vigumu sana kuelewa na kujifunza haya mambo. Mambo ya high na low frequency, meditation, chakras sijui Third eye, physical powers n.k ni mengi sana ila hayo ni machache niliyoyahifadhi akilini
Sasa wakuu yeyote mwenye kujua kuhusu haya mambo naomba anisaidie ata list ya vitabu vya kuanzia vya kusoma nipate kujua mawili matatu nitafurahi sana na kuahukuru, viwe English au swahili ni sawa tu japo hiki kizungu sometimes kinanisaliti ila sio mbaya nitakomaa kibishi tu
NB: Mimi ni jobless
Je waweza nielezea wewe mkuu nikaelewa?Subiri waje wakuelezee kwa kina kisha utafakari mwenyewe
Mimi sio mshirikinaJe waweza nielezea wewe mkuu nikaelewa?
mwandishi plzNinacho kitabu cha Siri nyingi sana za hapa duniani..
Ila iki kitabu kule mikoanu nauzaga 20000. Cash.
Ila wewe kwa kuwa ni mwanachama mwenzangu takupa kwa bei la punguzo kwa shilingi alfu tano tu...
Hiki kitabu kimebadilisha wengi sana ikiwemo hao wote ulio wataja.
Sina mengi kama umewiwa njo pm