Naombeni msaada wa maarifa ya kiroho

Mwamba kuhusu meditation Ile ina sura mbili ila kuwa makini .unaweza kujikuta umekuwa sangoma ghafra bila kutarajia ila muhimu tuambie huu Masada Una malengo gani maana siku hiz hadi NEC ya CCM uchawa unasikika Kwa frequency za juu.
 
Kwani meditation na third eye ni ya gizani? Kwa uelewa wangu meditation ni tahajudi yaani kutafakari kwa kina sasa inaingiaje kwenye giza mkuu
Subiri waje wakuelezee kwa kina kisha utafakari mwenyewe
 
Mwamba kuhusu meditation Ile ina sura mbili ila kuwa makini .unaweza kujikuta umekuwa sangoma ghafra bila kutarajia ila muhimu tuambie huu Masada Una malengo gani maana siku hiz hadi NEC ya CCM uchawa unasikika Kwa frequency za juu.
Lengo ni kujilinda kiroho na kuweza kumtambua adui mkuu maana hii dunia ina mengi sana
 
Tafuta Hela mkuu hayo mambo ni magonjwa ya walio na Hela za kutosha wakakosa kazi za kufanya na hizo Hela au waliokata tamaa hence wanataka waonane na Mungu wamuulize why me!!?
 
mwandishi plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…