Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏