Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

Pole sana.
Mpeleke hosp. wamchunguze kama ana shida kooni, apatiwe na dawa za minyoo.

Pia, zingatia kwenye upishi wa chakula chake (Apikiwe chakula chake), kwa kuanzia mpikie vyakula rojorojo, asile chakula kikavu (Kama ni wali, ufanye rojo) Unaweza kumuongezea tui la nazi, maziwa ama karanga.

Jitahidi pia kumkorogea uji awe anakunywa asubuhi na jioni (katika kuandaa unga wa uji zingatia nafaka za makundi mawili/matatu). Katika ukorogaji wa uji unaweza pia kuongeza tui la nazi maziwa ama karanga.

Ukishaona anaanza kula vizuri sasa ndo utaanza kuvifanya vyakula vyake kuwa milo ya kati kabla ya milo mikuu mnayokula wote kama familia.
 
Pole sana.
Mpeleke hosp. wamchunguze kama ana shida kooni, apatiwe na dawa za minyoo.

Pia, zingatia kwenye upishi wa chakula chake (Apikiwe chakula chake), kwa kuanzia mpikie vyakula rojorojo, asile chakula kikavu (Kama ni wali, ufanye rojo) Unaweza kumuongezea tui la nazi, maziwa ama karanga.

Jitahidi pia kumkorogea uji awe anakunywa asubuhi na jioni (katika kuandaa unga wa uji zingatia nafaka za makundi mawili/matatu). Katika ukorogaji wa uji unaweza pia kuongeza tui la nazi maziwa ama karanga.

Ukishaona anaanza kula vizuri sasa ndo utaanza kuvifanya vyakula vyake kuwa milo ya kati kabla ya milo mikuu mnayokula wote kama familia.
Sawa asante sana
 
Hiyo tabia alikuwa nayo mdogo wangu yani uji unamlisha anaweka mdomoni dakika kumi na anaweza kumeza ukimfurahisha au ukimtishia sana,Dada wa kazi alikuwa anambana pua ili ameze ila maza alivyomstukia alimgombeza kinoma,unakuta uji wa kunywa Dakika 10,yanatumika masaa hadi matano kumaliza,ila sahizi ni mbaba na anapeleka msosi kinoma,la msingi mvumilie tu please,na usimchape unamuumiza hisia kwa kiasi kikubwa.
Daah asante mdau
 
Pole sana.
Mpeleke hosp. wamchunguze kama ana shida kooni, apatiwe na dawa za minyoo.

Pia, zingatia kwenye upishi wa chakula chake (Apikiwe chakula chake), kwa kuanzia mpikie vyakula rojorojo, asile chakula kikavu (Kama ni wali, ufanye rojo) Unaweza kumuongezea tui la nazi, maziwa ama karanga.

Jitahidi pia kumkorogea uji awe anakunywa asubuhi na jioni (katika kuandaa unga wa uji zingatia nafaka za makundi mawili/matatu). Katika ukorogaji wa uji unaweza pia kuongeza tui la nazi maziwa ama karanga.

Ukishaona anaanza kula vizuri sasa ndo utaanza kuvifanya vyakula vyake kuwa milo ya kati kabla ya milo mikuu mnayokula wote kama familia.
Mtoto ana miaka mitano lakini sio miezi mitano
 
Niliachiwa watoto na mke mtafuta Hela. Watoto hawakuwa wanapenda kula Hadi ufoke au tuwape zawadi ili wale. Njia niliyotumia
1. Kwanza wapatishe njaa no bites, no juice, no kutafuna chochote
2. Wape kazi Fulani ili walichokula kiyeyuke mfano wafagie, wang'oe majani au wakimbie riadha.
3. Kisha njaa ikiwapata vizuri na wamechoka hutatumia fimbo wape vyakula kama viazi, Dona yenye mboga nzuri ya uchu, anyway kulingana na umri wao. Watakula Hadi utashangaa.
4. Ukiweza wakati wa kula waarike na rafiki zao wa jirani mmoja wawili watatu hivi aseee watakula Hadi utafirahi na watapata afya Hadi raha.
 
Niliachiwa watoto na mke mtafuta Hela. Watoto hawakuwa wanapenda kula Hadi ufoke au tuwape zawadi ili wale. Njia niliyotumia
1. Kwanza wapatishe njaa no bites, no juice, no kutafuna chochote
2. Wape kazi Fulani ili walichokula kiyeyuke mfano wafagie, wang'oe majani au wakimbie riadha.
3. Kisha njaa ikiwapata vizuri na wamechoka hutatumia fimbo wape vyakula kama viazi, Dona yenye mboga nzuri ya uchu, anyway kulingana na umri wao. Watakula Hadi utashangaa.
4. Ukiweza wakati wa kula waarike na rafiki zao wa jirani mmoja wawili watatu hivi aseee watakula Hadi utafirahi na watapata afya Hadi raha.
Sawa kaka nmekupata vilivyo asante
 
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.

Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.

Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?

Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.

Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.

Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?

Natanguliza shukrani..🙏
KULA nini? Nyapi au
 
Back
Top Bottom