Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
- Thread starter
- #101
Nimekusoma mtaalam. Kwenye swala lakucheza yupo active nimtundu sn hadi keroHakikisha unapika chakula anachokipenda. Mimi kwangu watoto ndo wanapanga menu. Muulize unataka kula nini.. Then pika chakula anachokitaka.
Asipokula au akila kidogo usimlazimishe muache hadi njaa imkung'ute kisawa sawa ataomba mwenyewe chakula.
Unajua hii mambo ya kula asububi mchana na jioni ni mazoea tu. Ila mtu anatakiwa ale pale anaposikia njaa.
Swala lingine, Je mtoto yuko active? Anacheza michezo ya kutumia nguvu.
Hakikisha mtoto anacheza michezo ya kutumia nguvu, lazima atasikia njaa tu. Lakini kama anakaa ndani siku nzima ni changamoto.
Summary
Usimlazimishe, akisikia njaa ataomba chakula mwenyewe