Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kumchanganya watoto wengine imekaa mkao ila mazingira hayaruhusu sio uswahilini. Ntaanza na hyo therapy ya vitaminMpe therapy ya vitamin ile yenye mchanganyiko wa strawberry atapata hamu ya kula.
Kingine kama unakaa uswalihini mchanganye na watoto wa kiswahili ambao chakula kwao ni kipengele washindane kula.
Daah kulea kazi kwelikweliPole yake sana...
Amtengenezee utaratibu wa kumpa chakula kidogo kidogo ila mara nyingi kwa siku...
Ana tatizo la uwoga wa kumeza ni kawaida kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano...
Sawasawa nashukuru sn ntaziuliziaKuna vitamins za watoto zinawaongezea appetite
Atakula lazima, asipokula alivyo sasa basi nenda kwa daktari
Haya usiku huu ni makande yamepikwa na ni matamu kweli mana ni ya nazi ila hapa alipo ameshalia wala sijamchapq na natumia busara sn kumbembeleza ila duuh. Mara aseme shingo ina muuma mara aseme kidonda kinawasha. Anamchubuko kwenye goti.Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏
Sawasawa shukraniMpe dawa ya minyoo + vitamin b afu muache njaa ikimtafuna vizuri atakula mwenyewe,usimshikie fimbo kuwa friendly zingatia wakati wakumpa chakula usimpe peke yake tenga mle wote apate compan.....badili aina ya vyakula na pendeleni vyakula visivyo na viungo vingi wengi vinawakinai
Mnunulie hii kitu utanishukuru baadaye wanauza 25kHabari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏
Nina mtoto anaelekea miaka 3,na yeye ana tatzo hilo hapendi kula na wakat wa kunyonya,kanyonya haswa na alikuwa anapenda sana na mama yake alijitahid sana kumnyonyesha kwa miaka yote miwiliUmejaribu Chips kuku kidali akakataa?
Duuh kuna watu wametoa madini humu kwenye huu uzi tujaribu kufuata huenda tukafanikiwa. Chakula ni vyema ale kumuepusha na magonjwaNina mtoto anaelekea miaka 3,na yeye ana tatzo hilo hapendi kula na wakat wa kunyonya,kanyonya haswa na alikuwa anapenda sana na mama yake alijitahid sana kumnyonyesha kwa miaka yote miwili
Yaan hata hana mwili,chakula ambacho kidogo anajaribu kula ni wali wenye mchuzi wa maharage na vitumbua
Lakin vitu vingine hapend,nyama na samaki anatafuna baadae anatema,watoto wengine wanapenda sana maandaz lakin yeye hana habari nayo,tukinunuaga chips hizo ndo hana hata habari nazo kabisa anaishia kunywa soda tu
Hivi watanzania mna nini na ukatili? Kila mtu ni katili na hudhani viboko ndiyo njia ya kutatua matatizo ya watoto!Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏
Yaan huwa nakawazia siku kakikutana na ugonjwa mkubwa si tunaweza kukapoteza kabisaDuuh kuna watu wametoa madini humu kwenye huu uzi tujaribu kufuata huenda tukafanikiwa. Chakula ni vyema ale kumuepusha na magonjwa
Sawasawa,. Nadhani amekupata vizuriPole yake sana...
Amtengenezee utaratibu wa kumpa chakula kidogo kidogo ila mara nyingi kwa siku...
Ana tatizo la uwoga wa kumeza ni kawaida kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano...
Sawa sawa ntafanya ivoNna uhakika asilimia 80 ukienda mpima damu utaambiwa iko chini..em jaribu kwa wiki moja tu kumpa vyakula vya kuongeza damu utaona mabadiliko, naongea kutokana na experience ya wanangu mwenyewe.
Duuh jitahidi mtaalam. Tukifikiria hayo moyo unapata ganziYaan huwa nakawazia siku kakikutana na ugonjwa mkubwa si tunaweza kukapoteza kabisa
Bahat nzur mama ake yupo makin,anajitahid kukatibu haraka kabla mambo hayajawa makubwa
Mcheki Dr Janabi, atakueleza kati yako wewe na mtoto wako nani mwenye tatizo.Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..🙏
Asante sanaPole yake sana...
Amtengenezee utaratibu wa kumpa chakula kidogo kidogo ila mara nyingi kwa siku...
Ana tatizo la uwoga wa kumeza ni kawaida kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano...
Akipata chakula apendacho atakula bila shuruti.. Unajua huwa tunawapangia vyakula kwa ladha na mitazamo yetuNashukuru kwa kunikumbusha. Nishaamua kuachana na fimbo