Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

Mpe therapy ya vitamin ile yenye mchanganyiko wa strawberry atapata hamu ya kula.

Kingine kama unakaa uswalihini mchanganye na watoto wa kiswahili ambao chakula kwao ni kipengele washindane kula.
Hii kumchanganya watoto wengine imekaa mkao ila mazingira hayaruhusu sio uswahilini. Ntaanza na hyo therapy ya vitamin
 
Mpe dawa ya minyoo + vitamin b afu muache njaa ikimtafuna vizuri atakula mwenyewe,usimshikie fimbo kuwa friendly zingatia wakati wakumpa chakula usimpe peke yake tenga mle wote apate compan.....badili aina ya vyakula na pendeleni vyakula visivyo na viungo vingi wengi vinawakinai
 
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.

Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.

Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?

Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.

Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.

Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?

Natanguliza shukrani..🙏
Haya usiku huu ni makande yamepikwa na ni matamu kweli mana ni ya nazi ila hapa alipo ameshalia wala sijamchapq na natumia busara sn kumbembeleza ila duuh. Mara aseme shingo ina muuma mara aseme kidonda kinawasha. Anamchubuko kwenye goti.
Nacheka tu na hasira zinapanda pia natamani niwawekee kavidio kasekunde kazaa nimrekodi😁
 
Mpe dawa ya minyoo + vitamin b afu muache njaa ikimtafuna vizuri atakula mwenyewe,usimshikie fimbo kuwa friendly zingatia wakati wakumpa chakula usimpe peke yake tenga mle wote apate compan.....badili aina ya vyakula na pendeleni vyakula visivyo na viungo vingi wengi vinawakinai
Sawasawa shukrani
 
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.

Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.

Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?

Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.

Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.

Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?

Natanguliza shukrani..🙏
Mnunulie hii kitu utanishukuru baadaye wanauza 25k
 
Umejaribu Chips kuku kidali akakataa?
Nina mtoto anaelekea miaka 3,na yeye ana tatzo hilo hapendi kula na wakat wa kunyonya,kanyonya haswa na alikuwa anapenda sana na mama yake alijitahid sana kumnyonyesha kwa miaka yote miwili

Yaan hata hana mwili,chakula ambacho kidogo anajaribu kula ni wali wenye mchuzi wa maharage na vitumbua

Lakin vitu vingine hapend,nyama na samaki anatafuna baadae anatema,watoto wengine wanapenda sana maandaz lakin yeye hana habari nayo,tukinunuaga chips hizo ndo hana hata habari nazo kabisa anaishia kunywa soda tu
 
Nina mtoto anaelekea miaka 3,na yeye ana tatzo hilo hapendi kula na wakat wa kunyonya,kanyonya haswa na alikuwa anapenda sana na mama yake alijitahid sana kumnyonyesha kwa miaka yote miwili

Yaan hata hana mwili,chakula ambacho kidogo anajaribu kula ni wali wenye mchuzi wa maharage na vitumbua

Lakin vitu vingine hapend,nyama na samaki anatafuna baadae anatema,watoto wengine wanapenda sana maandaz lakin yeye hana habari nayo,tukinunuaga chips hizo ndo hana hata habari nazo kabisa anaishia kunywa soda tu
Duuh kuna watu wametoa madini humu kwenye huu uzi tujaribu kufuata huenda tukafanikiwa. Chakula ni vyema ale kumuepusha na magonjwa
 
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.

Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.

Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?

Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.

Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.

Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?

Natanguliza shukrani..🙏
Hivi watanzania mna nini na ukatili? Kila mtu ni katili na hudhani viboko ndiyo njia ya kutatua matatizo ya watoto!
 
Hakikisha unapika chakula anachokipenda. Mimi kwangu watoto ndo wanapanga menu. Muulize unataka kula nini.. Then pika chakula anachokitaka.

Asipokula au akila kidogo usimlazimishe muache hadi njaa imkung'ute kisawa sawa ataomba mwenyewe chakula.

Unajua hii mambo ya kula asububi mchana na jioni ni mazoea tu. Ila mtu anatakiwa ale pale anaposikia njaa.

Swala lingine, Je mtoto yuko active? Anacheza michezo ya kutumia nguvu.

Hakikisha mtoto anacheza michezo ya kutumia nguvu, lazima atasikia njaa tu. Lakini kama anakaa ndani siku nzima ni changamoto.

Summary

Usimlazimishe, akisikia njaa ataomba chakula mwenyewe
 
Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.

Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.

Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?

Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.

Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.

Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?

Natanguliza shukrani..🙏
Mcheki Dr Janabi, atakueleza kati yako wewe na mtoto wako nani mwenye tatizo.
 
Back
Top Bottom