Naombeni msaada wa vitu vya watoto

Naombeni msaada wa vitu vya watoto

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Salamu wakuu
Maisha haya ukiwa mzima na watoto wako shukuru Mungu
Kuna ndugu nilikutana nae ana changamoto mwanae alizaliwa na kichwa kikubwa.alifanyiwa operation muhimbili dogo anaendelea vizuri kichwa kinapungua mdogo mdogo .ana miezi sita sasa
Kusema kweli wazazi wale wamechokaaa maana kila siku wanalazwa hosptal mtoto ana six month now.halafu ni young couple just imagine hata mama mkwe na mawifi hawaendi hosp.hata chakula anakula cha hosp hakuna wa kumpelekea maana mume inabidi apambane maana kuna bill za hosp inabidi walipe
Sasa nilivoona nimsaidie baadhi ya vitu kwa uwezo wangu
Ila nikaona niwashirikishe ndugu zangu humu kama kuna mtu anavitu vya watoto mfano cha kujifunzia kukaa au kutembelea etc ambayo hatumii anisaidie nimpe au kama unauza bei ya chini nitanunua
Nimejaribu kutafuta kwa mashoga zangu sijapata bado
 

Attachments

  • IMG_20241019_125158.jpg
    IMG_20241019_125158.jpg
    474.9 KB · Views: 3
  • IMG_20241019_125050.jpg
    IMG_20241019_125050.jpg
    359.6 KB · Views: 5
Salamu wakuu
Maisha haya ukiwa mzima na watoto wako shukuru Mungu
Kuna ndugu nilikutana nae ana changamoto mwanae alizaliwa na kichwa kikubwa.alifanyiwa operation muhimbili dogo anaendelea vizuri kichwa kinapungua mdogo mdogo .ana miezi sita sasa
Kusema kweli wazazi wale wamechokaaa maana kila siku wanalazwa hosptal mtoto ana six month now.halafu ni young couple just imagine hata mama mkwe na mawifi hawaendi hosp.hata chakula anakula cha hosp hakuna wa kumpelekea maana mume inabidi apambane maana kuna bill za hosp inabidi walipe
Sasa nilivoona nimsaidie baadhi ya vitu kwa uwezo wangu
Ila nikaona niwashirikishe ndugu zangu humu kama kuna mtu anavitu vya watoto mfano cha kujifunzia kukaa au kutembelea etc ambayo hatumii anisaidie nimpe au kama unauza bei ya chini nitanunua
Nimejaribu kutafuta kwa mashoga zangu sijapata bado
Poleni na hongera kwa msaada!Huyo mtoto kama wako vizuri na Wewe ni mtoa msaada,kuna mtoto mwenye changamoto kama hiyo,hapa Dodoma, Wazazi wake walimpeleka Sehemu inaitwa Mkali karibu na Gairo kuna Hospital nadhani ni ya Wakatoliki.Huyo mtoto kwa Sasa Yuko vizuri na anaonyesha uwezo mzuri wa kiakili pia.Na vifaa tajwa viko huko Ahsante.
 
Salamu wakuu
Maisha haya ukiwa mzima na watoto wako shukuru Mungu
Kuna ndugu nilikutana nae ana changamoto mwanae alizaliwa na kichwa kikubwa.alifanyiwa operation muhimbili dogo anaendelea vizuri kichwa kinapungua mdogo mdogo .ana miezi sita sasa
Kusema kweli wazazi wale wamechokaaa maana kila siku wanalazwa hosptal mtoto ana six month now.halafu ni young couple just imagine hata mama mkwe na mawifi hawaendi hosp.hata chakula anakula cha hosp hakuna wa kumpelekea maana mume inabidi apambane maana kuna bill za hosp inabidi walipe
Sasa nilivoona nimsaidie baadhi ya vitu kwa uwezo wangu
Ila nikaona niwashirikishe ndugu zangu humu kama kuna mtu anavitu vya watoto mfano cha kujifunzia kukaa au kutembelea etc ambayo hatumii anisaidie nimpe au kama unauza bei ya chini nitanunua
Nimejaribu kutafuta kwa mashoga zangu sijapata bado
Poleni Sana Ila Kama upo DSM kesho uje clouds FM utaonana na Dr is sack Maro naimani utapatikana msaada zaidi ya huo
 
Poleni na hongera kwa msaada!Huyo mtoto kama wako vizuri na Wewe ni mtoa msaada,kuna mtoto mwenye changamoto kama hiyo,hapa Dodoma, Wazazi wake walimpeleka Sehemu inaitwa Mkali karibu na Gairo kuna Hospital nadhani ni ya Wakatoliki.Huyo mtoto kwa Sasa Yuko vizuri na anaonyesha uwezo mzuri wa kiakili pia.Na vifaa tajwa viko huko Ahsante.
Shukrani nitamuambia mkuu
 
Kuna changamoto za watoto akizaliwa nazo ni bora angekufa, maana its a life long torture kwa mtoto, na kwako mzazi hautafanya chochote maishani mwako..
 
Back
Top Bottom