Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Vina gharama kiasi kuna mtu niliwahi kukutana nae akiwa hoapitali mtoto wake anatumia hivyo gharama kwa masikio yote ilikuwa kama tsh 1.2M, alivinunulia kenya ila alikuwa ameenda kubadili battery.Tafuta vifaa vinavosaidia kuongeza usikivu sidhani kama vitakua bei ghali sana
Sina hakika kama bima zetu hizi zina support.