Egbert saka
Member
- Jun 19, 2024
- 43
- 36
- Thread starter
- #41
OK poaUtapata mkopo omba kama wengine wanavyomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK poaUtapata mkopo omba kama wengine wanavyomba
Kweli kabisa???Ndo imeisha hiyo
Unasubir mafao yakoKweli kabisa???
Duh. Hapo unaweza survive kwa muda gani ukimaliza hio kaziUnasubir mafao yako
Wanafanya hivyo kwasababu hiyo mionz inaleta cancer za karibia kila namna! Madhara kibaoKweli kabisa???
He!!!!!Wanafanya hivyo kwasababu hiyo mionz inaleta cancer za karibia kila namna! Madhara kibao
Watu hawatak kuajiriwa dogo wengine wangefurah! Unaanzisha biashara yako.Duh. Hapo unaweza survive kwa muda gani ukimaliza hio kazi
Cjakuelewa hapoWatu hawatak kuajiriwa dogo wengine wangefurah! Unaanzisha biashara yako.
Sidhan kama uko sahihi mkuu, kwahy unamaanisha kuwa hapo n mpaka six leavers wote wapate mkopo then pesa zitakazobaki ndio wanapewa wa form 4? Kwan n lin pesa za mkopo ziliwahi kutosha mana kuna wngn wana vigezo na wanakosa mkopo. Au una maana gn?Wakishawapa form six leavers wanafungua dirisha kwa watu wa diploma waliomaliza form 4
Kama n hv bc mtoa mada aangalie kozi nyngn tuu 😂 mana hapo n sawa na kusema serikali haitaki mtumishi wake afie mikononi mwaoWanafanya hivyo kwasababu hiyo mionz inaleta cancer za karibia kila namna! Madhara kibao
Duh. Mpaka nimeogopa hyo koziKama n hv bc mtoa mada aangalie kozi nyngn tuu 😂 mana hapo n sawa na kusema serikali haitaki mtumishi wake afie mikononi mwao
Wanaweka fungu tofauti kabisa(Hz ni siasa ndugu) wanapunguzaga upande wa form six leavers wanaweka upande wa diploma.Sidhan kama uko sahihi mkuu, kwahy unamaanisha kuwa hapo n mpaka six leavers wote wapate mkopo then pesa zitakazobaki ndio wanapewa wa form 4? Kwan n lin pesa za mkopo ziliwahi kutosha mana kuna wngn wana vigezo na wanakosa mkopo. Au una maana gn?
Ndo hivyo saiv techonology imekua ndo maana anafanya hata miaka 5! Lakin zaman mitatu unapita hv... Hizo X rays,beta rays etc hazifaiKama n hv bc mtoa mada aangalie kozi nyngn tuu 😂 mana hapo n sawa na kusema serikali haitaki mtumishi wake afie mikononi mwao
Ila mbona kama private wanakaa muda mrefu au inakuwaje hapoNdo hivyo saiv techonology imekua ndo maana anafanya hata miaka 5! Lakin zaman mitatu unapita hv... Hizo X rays,beta rays etc hazifai
Tamaa mbele mauti nyuma!Ila mbona kama private wanakaa muda mrefu au inakuwaje hapo
Yn unafanya kazi serikalini huku ukijua baada ya miaka mitano nakuwa mstaafu 😂 hy hapana aiseeTamaa mbele mauti nyuma!
Hovyo kabisa😄😄Upo form ngap