Naombeni muongozo jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii kama FB,Instagram na Whatsup ili kuwafikia watu wengi zaidi kibiashara

Naombeni muongozo jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii kama FB,Instagram na Whatsup ili kuwafikia watu wengi zaidi kibiashara

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Naamini miongoni mwenu kuna wanaotumia mitandao ya kijamii kibiashara nami nahitaji kuwa miongoni mwao.Nahitaji kuwafikia watu zaidi kupitia mitandao hii kwa ajili kuwafanya wawe aware na uwepo wangu kwenye biashara fulani.Nimeilenga mitandao 3.Insta,FB na Whatsup.Pia kama kuna yeyote mwenye link za thread zinazozungumzia haya mambo aziquote zinioeleke huko.Ahsanteni
 
Fungua akaunti ya biashara yako fb, insta &whatsapp alafu zilink ziwe zinaingiliana ili ukipost automatically inaonekana kwenye hiyo mitandao yote. Pia unaweza kuboost ads kwa kulipia(matangazo) ili kuwafikia watu wengi zaidi.

Facebook kuna groups nyingi sana za biashara unajoin unakuwa unashare biashara yako, fb watu wanaidharau ila inawafikia watu wengi na wateja wengi sana.
Kila la kheri mkuu
 
Fungua akaunti ya biashara yako fb, insta &whatsapp alafu zilink ziwe zinaingiliana ili ukipost automatically inaonekana kwenye hiyo mitandao yote. Pia unaweza kuboost ads kwa kulipia(matangazo) ili kuwafikia watu wengi zaidi.

Facebook kuna groups nyingi sana za biashara unajoin unakuwa unashare biashara yako, fb watu wanaidharau ila inawafikia watu wengi na wateja wengi sana.
Kila la kheri mkuu
Huu ushauri mzuri sana

Kwa kuongezea hata JF usiache kuitumia in business
 
 
Back
Top Bottom