Hakuna madhara kula tu hadi utengeneze banda la kuwafugia kwa faida ya Kiuchumi na Kiafya!Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Mkuu hiyo si ndio fursa sasa,anzisha kijiweNilipo ni kusini mwa Tanzania na wanaotuzunguka 99% ni waislamu. Hakuna kijiwe cha the loved Kitimoto. You can imagine mate kiasi gani yashanitoka
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Nitauwawa...!! Fikiria, wakati wa mfungo maduka hufungwa mchana woteMkuu hiyo si ndio fursa sasa,anzisha kijiwe
Huko vipo vingi kama upo mtwara nenda fireNilipo ni kusini mwa Tanzania na wanaotuzunguka 99% ni waislamu. Hakuna kijiwe cha the loved Kitimoto. You can imagine mate kiasi gani yashanitoka
Huko kote nakujua, fire, kwa mwenyekiti, pale karibu na kanisa Katoliki jimbo la Mtwara kama unaelekea kwa mkuu wa mkoa upande wa kushoto, etc.. Hayo ni maeneo ya mjini..!! Nipo mbali na hukohuko vipo vingi kama upo mtwara nenda fire
Chimbo langu hlo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Mkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Mkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Hatari sana
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Hakikisha unakula na familia yako(mke/mume na watoto), usiwe unakula peke yako.Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu