Naombeni ratiba za vipindi vya michezo

Naombeni ratiba za vipindi vya michezo

Alexander Lukashenko

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2017
Posts
4,140
Reaction score
9,667
Wanaspoti wenzangu kutokana na kilichototokea leo naombeni nipewe ratiba ya Vipindi vya michezo kwa Siku ya kesho kwa redio zote.

Lakini ningependa kushauri wanaspoti wenzangu hasa wale wayanga, tusikose kipindi cha hawa Manguli wa michezo hapo kesho.

Natanguliza shukrani.
20240317_234202.jpg
 
Kesho watasikiliza vipindi vya michezo huku wakilamba glucose
 
Upendo TV kuanzia asubuhi mpaka usiku wa manane.
 
Back
Top Bottom