Naombeni suluhisho la 'Kikatili' la Kukabiliana na Paka wanaolia kama Watoto Wachanga Majumbani Nyakati za Usiku tu

wawekee sumu na samaki mkubwa km mwili wako.... ss ww unawekea sumu tu kwa mfan km ww ndo ungekuw ao nyau ungekubal kula sumu kavu kavu bila mnofu
 
Mim mwenyewe kipind nahamia kwenye nyumba flan ilkua hvyo.. kla cku walkua wanalia dirishan km watoto.. kuna cku nkasema liwalo na liwe nlchukua mijiwe niliwapiga afu walkua ndani ya fensi ss tangu cku hyo hakuna kulia tenaa..
 
Nimesoma comments nyingi humu ndani,kuna nilizozielewa na nyingine sijazielewa kabisa,mwingine anasema mwaga chumvi ya upa
ako,mara fungulia redio Yani wabongo tunauelewa mdogo sana jamani ebu tusomeni vitabu mara kwa mara,watu wangu wanahaNgamia kwakukosa maarifa(KASEMA MUNGU)

5 REASONS WHY CAT YOWLING AT NIGHT

1)..CATS ARE NATURALLY MORE ACTIVE AT NIGHT

2)...CATS MAY BE BORED OR UNSTIMULATED

3)..OVER ACTIVE THYROID OR KIDNEY DISEASE

4)..OUTDOOR CATS MAY FEEL TRAPPED.

5)..YOWLING COULD BE THE SOUND OF MATING..
watu waliosoma mambo ya wanyama wanajua sababu zote hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…