Naombeni Tafsiri ya ndoto hii

Naombeni Tafsiri ya ndoto hii

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Hivi majuzi nimeota ndoto ambayo bado inanisumbua sana.

Hii ndoto ilikuwa inamhusu mwendazake Rais Magufuri. Niliota ilikuwa siku ya uzinduzi wa reli ya Chini kwa Chini au unaweza kuziita treni za kutumia umeme. Hivyo na Mimi nikaenda kwenye ufunguzi wa reli hiyo pamoja na wananchi wengi. Kama kawaida Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua reli.

Cha kushangaza Rais alipoaangalia upande wa wananchi akaniona akaniita na kuniomba tuzindue pamoja naye ile reli. Nilijisikia hali ya Furaha na upendo kwa Rais pamoja kwamba nilikuwa simkubali kwa jinsi alivyokuwa anatupelekesha CHADEMA. Baadae akawa ananiuliza maswali na tunaongea wakati tunasubiri uzinduzi. Ghafla ndoto ikakatika nikashtuka usingizini.

Mpaka sasa sijafahamu maana ya ndoto hii, naombeni msaada. Naombeni ufafanuzi. Inakuwaje mtu niliyekuwa nina mchukia sana kwenye reality aniite kwa upendo kwenye ndoto halafu na mimi nimkubalie na kufuraia wakati in real life nisingeenda kwenye Jambo lake.
 
Inaonekana huko kuzimu amepata uteuzi labda ni waziri wa miundombinu na ndoto hiyo inaweza kuwa na maana kuwa utakufa siku si nyingi kwenda kuungana nae huko.
 
Hivi majuzi nimeota ndoto ambayo bado inanisumbua sana.

Hii ndoto ilikuwa inamhusu mwendazake Rais Magufuri. Niliota ilikuwa siku ya uzinduzi wa reli ya Chini kwa Chini au unaweza kuziita treni za kutumia umeme. Hivyo na Mimi nikaenda kwenye ufunguzi wa reli hiyo pamoja na wananchi wengi. Kama kawaida Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua reli.

Cha kushangaza Rais alipoaangalia upande wa wananchi akaniona akaniita na kuniomba tuzindue pamoja naye ile reli. Nilijisikia hali ya Furaha na upendo kwa Rais pamoja kwamba nilikuwa simkubali kwa jinsi alivyokuwa anatupelekesha CHADEMA. Baadae akawa ananiuliza maswali na tunaongea wakati tunasubiri uzinduzi. Ghafla ndoto ikakatika nikashtuka usingizini.

Mpaka sasa sijafahamu maana ya ndoto hii, naombeni msaada. Naombeni ufafanuzi. Inakuwaje mtu niliyekuwa nina mchukia sana kwenye reality aniite kwa upendo kwenye ndoto halafu na mimi nimkubalie na kufuraia wakati in real life nisingeenda kwenye Jambo lake.
Unajua ukikaa kutafuta ubaya wa mtu utauona kila siku, na ukikaa kutafuta uzuri wa mtu utauona kila siku. Hata wewe leo uwe Rais kuna mtu atakuchukia tu. Wengi wanaumizwa kwa kuambiwa maana ya kitu na watu wengine lkn hawajawahi kuutafuta ukweli wao wenyewe.
Kifupi Ukimfanyia wema maskini ambaye hatakuja kukulipa wema huo umemfurahisha Mungu, lkn ukimfanyia wema tajiri ukitarajia malipo hamna ziada hapo...
Anhalia kwann mtu yule alikasirishwa na kitu gani...

Kuna mtu hapo kakujibu yawezekana point ni, umejenga chuki kwa mtu ambaye hakuwahi kukufanyia chuki, na wakati pia haifai kuwa na chuki kwa yeyote...
 
Unajua ukikaa kutafuta ubaya wa mtu utauona kila siku, na ukikaa kutafuta uzuri wa mtu utauona kila siku. Hata wewe leo uwe Rais kuna mtu atakuchukia tu. Wengi wanaumizwa kwa kuambiwa maana ya kitu na watu wengine lkn hawajawahi kuutafuta ukweli wao wenyewe.
Kifupi Ukimfanyia wema maskini ambaye hatakuja kukulipa wema huo umemfurahisha Mungu, lkn ukimfanyia wema tajiri ukitarajia malipo hamna ziada hapo...
Anhalia kwann mtu yule alikasirishwa na kitu gani...

Kuna mtu hapo kakujibu yawezekana point ni, umejenga chuki kwa mtu ambaye hakuwahi kukufanyia chuki, na wakati pia haifai kuwa na chuki kwa yeyote...
Angalia hii Video, Unasemaje unampenda Mungu ikiwa unamchukia jirani yako unayemuona?

 
Hivi majuzi nimeota ndoto ambayo bado inanisumbua sana.

Hii ndoto ilikuwa inamhusu mwendazake Rais Magufuri. Niliota ilikuwa siku ya uzinduzi wa reli ya Chini kwa Chini au unaweza kuziita treni za kutumia umeme. Hivyo na Mimi nikaenda kwenye ufunguzi wa reli hiyo pamoja na wananchi wengi. Kama kawaida Rais alikuwa mbele tayari kwa kuzindua reli.

Cha kushangaza Rais alipoaangalia upande wa wananchi akaniona akaniita na kuniomba tuzindue pamoja naye ile reli. Nilijisikia hali ya Furaha na upendo kwa Rais pamoja kwamba nilikuwa simkubali kwa jinsi alivyokuwa anatupelekesha CHADEMA. Baadae akawa ananiuliza maswali na tunaongea wakati tunasubiri uzinduzi. Ghafla ndoto ikakatika nikashtuka usingizini.

Mpaka sasa sijafahamu maana ya ndoto hii, naombeni msaada. Naombeni ufafanuzi. Inakuwaje mtu niliyekuwa nina mchukia sana kwenye reality aniite kwa upendo kwenye ndoto halafu na mimi nimkubalie na kufuraia wakati in real life nisingeenda kwenye Jambo lake.
Uhai ni uhai na kifo ni kifo; kwa kuwa wewe u hai, hustahili kuishi katika ndoto, hali ama mawazo ya UMAUTI

Sali sana ili Mungu akuepushe na kifo chenyewe kama kifo ama kifo kwa maana ya roho mbaya kushughulika na uchumi ama maisha yako. NAKUOMBEA ULINZI WA MUNGU
 
Uhai ni uhai na kifo ni kifo; kwa kuwa wewe u hai, hustahili kuishi katika ndoto, hali ama mawazo ya UMAUTI

Sali sana ili Mungu akuepushe na kifo chenyewe kama kifo ama kifo kwa maana ya roho mbaya kushughulika na uchumi ama maisha yako. NAKUOMBEA ULINZI WA MUNGU

Ni kweli usemacho. Ubarikiwe kwa maombi.
 
Back
Top Bottom