Naombeni taratibu za rufaa Wizara ya Elimu, mwanangu kapata division three wakati hana uwezo huo

Naombeni taratibu za rufaa Wizara ya Elimu, mwanangu kapata division three wakati hana uwezo huo

Nyie ndio wazazi hamuweki bidii kulea, kuwajua na kuwa fahamu watoto wenu, halafu wakikua wakawatema mnaanza kulalamika watoto hawapendi wazazi wao. Kisa mambo mnaona madogo ila kwa mtoto mkubwa sana yana mchoma.

Kuna njia nyingi ungefanya kumsaidia na kuweka bond nae pia kuzaa mengi mazuri kwake, kuliko hatua hii unataka kuchukua.
Unachotaka kusema ni nini sasa!
 
Tunaandaa bomu la nuclear. Watoto hawajui chochote ila wana ma "A" "A" kwenye vyeti vyao. Hawajui kuongea, kusoma wala kuandika lugha yoyote, hawawezi kazi yoyote..... halafu eti ufaulu umeongezeka.
 
Ngoja nkuibie siri
(ikifika mwaka mmoja kabla uchaguzi mfano 2004/2005, 2009/2010,2014/2015,2019/2020,2024/2025

Kutokana uchaguzi jaribu kuchunguza wanafunzi wengi huwa wanafaulu
(formula ya usahihishaji inayotumika
Ni "mwanafunzi anauelewa japo hajapatia jibu"
Pili kuna formula za standardization labda walimu wa nakubali ana wanaongeza marks 10 10 kutokana ufaulu kwa average ya wanafunzi niishie hapa.
Dah mwanangu 2009 watu walifeli sana chunguza
 
Nimetoka kuongea na dada yangu kuna mtoto wa Kaka yetu ni mzito tena mzito hasa kiufupi tulikuwa tunasubiri amalize aolewe cha ajabu amepata division III kwa kweli familia nzima tumeshangaa.
Something is not right,hata majuzi kati nilikuwa namfanyia dogo application ya chuo kikuu nikashangaa Shule ya Serikali ina karibu division I 200 na usher nilijiuliza maswali mengi sana.
 
Nimetoka kuongea na dada yangu kuna mtoto wa Kaka yetu ni mzito tena mzito hasa kiufupi tulikuwa tunasubiri amalize aolewe cha ajabu amepata division III kwa kweli familia nzima tumeshangaa.
Something is not right,hata majuzi kati nilikuwa namfanyia dogo application ya chuo kikuu nikashangaa Shule ya Serikali ina karibu division I 200 na usher nilijiuliza maswali mengi sana.
Kama waziri anabisha wazazi tuko tayali kuwaleta watoto mbele wahakikiwe! Siyo kwa ubaya lakini hata kama tunabebana siyo kwa style hii ni kuuwa taaluma makusudi au kwa bahati mbaya
 
Nimeshapeleka barua ya kupinga matokeo DoM nasubili majibu
 
Unaonekana ni mzazi ambae hauko serious na wanao,itakuwaje umwache huru kiiivyo,,kidaftari kimoja unamwangalia tu,hauko makini au huyo ni mtoto wa jirani yako kama si nduguyo.
 
Unaonekana ni mzazi ambae hauko serious na wanao,itakuwaje umwache huru kiiivyo,,kidaftari kimoja unamwangalia tu,hauko makini au huyo ni mtoto wa jirani yako kama si nduguyo.
Wewe ambae uko serious subili utakapozalishwa tutajua
 
Back
Top Bottom