Naombeni tricks and tips za kumtunza mke wangu

Hiyo namba 7 sikujua. Wengine tunaagana kama salamu za maderva wa mabasi barabarani.
Au Mungu akufanikishe me wangu na unapewa gwala.
 
Wanaume hiyo namba 1, piteni kama hamuioni hapo kwenye kumshirikisha kila kitu chako tofauti na hapo mtalia sana wanaume wezangu
 
Mambo mengi utayatimiza kwa urahisi ukiwa na hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…