Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.

Nawaombeni msishangae kwa hilo kwa sababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.

CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.

CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.

Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...
 
Tuwapuuze wanaodai kuwa CHADEMA wanatembeza bakuli, badala yake tuwaulize fedha za kampeni za CCM zimetoka wapi? Hayo mafungu yanayotengwa ni kodi za wananchi wote bila kujali vyama vyao
 
Mumeanza na masaccos yenu, kwani hiyo ruzuku mnayopata ni kodi za watu gani? Yaaaniiii chadema mwaka huuu kila kiki mnayoleta inabumaaa. Mkichangisha tutawaomba mtupe mrjesho, wa kiasi na matumizi yake. Vyama vyote vinapata ruzuku ambayo ni kodi ya watanzania wote, halafu unaleta propagandazako za kizushi hapa
 
Tuwapuuze wanaodai kuwa CHADEMA wanatembeza bakuli, badala yake tuwaulize fedha za kampeni za CCM zimetoka wapi? Hayo mafungu yanayotengwa ni kodi za wananchi wote bila kujali vyama vyao
Unaijua miradi inayoendeshwa na ccm?
 
Halafu unakuta maisha yako magumuuu. Hapo unabwabwaja kwa sababu umepewa fulana ya kijani. Kunguni ww.
Mtueleze kwanza zile 800m alixokuwa anawakata mbowe wabunge wa chadema kila mwezi kea miaka mitano zimeenda wapi?
 
Unaijua miradi inayoendeshwa na ccm?
Miradi mingi na vitegauchumi vingi ni mali za Watanzania kwa pamoja, Lissu ama kiongozi mwenye maono atazirudisha serikalini.Kabla mfumo vyama vingi serikali na chama vilifungamana pamoja.
 
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.

Nawaombeni msishangae kwa hilo kwasababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.

CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.

CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.

Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...
Ccm kutumia raslimali za umma kufanya kampeni ni uporaji Kama uporaji mwingine na haikubaliki
 
Halafu unakuta maisha yako magumuuu. Hapo unabwabwaja kwa sababu umepewa fulana ya kijani. Kunguni ww.
Mkuu akili zetu wanaccm tunazijua wenyewe,huwa tunakumbuka maisha yetu baada ya uchaguzi
 
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.

Nawaombeni msishangae kwa hilo kwasababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.

CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.

CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.

Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...
Sawa mimi 700 itapendeza.Sijalipwa malimbikizo ya mshahara sababu ya CCM
 
Halafu unakuta maisha yako magumuuu. Hapo unabwabwaja kwa sababu umepewa fulana ya kijani. Kunguni ww.
Umenitukana bure mkuu, mnaanzisha mada ili watu tuchangie hoja, wakati mwingine tunazimika kuuliza maswali kwa mwanzisha mada ili kupima uelewa wake, sasa mnapoanzisha mada na kutukana mnatufedhehesha wachangia mada!

Kwa kifupi, Mimi pia no mhanga wa kutokuwa na ajira serikalini, takribani miaka 12 sasa tangu nimemaliza chuo MIST, huko Mbeya!

Ila cjawahi kujuta kutoajiriwa serikalini, nilifungua kibanda change cha kurusha nyimbo na movie kwa wateja huku nikiwa natengeneza tengeneza computer za watu mtaani baadae pia ktk baadhi ya kampuni waliopenda kazi zangu, sasa si tu kibanda ila ni ofisi naiheshimu!

Niliacha masuala ya kuwanyonya wasanii japo ukweli mwanzo nilinufaika kunifanya kupanua ofisi! Sasa mie nakomaa na fani, natengeneza computer na simu aina zote na kidogo ninachokipata wala sijutii kutoajiriwa serikalini na kodi nalipa bila utata!

Si kila mtu anapewa tishet au buku saba hapa jukwaani ili kukipenda chama tawala, wengine wanakipenda hats bila kuwa na kadi na hawajui hasa kwa nini wanapenda ccm!

Dunia ndivyo ilivyo, wote hatuwezi kuwa na mapenzi ya kufanana na hiyo ndiyo inayoleta radha ya ushindani!
 
Back
Top Bottom