Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Namba ya kuchangia iwekwe hapa...
Wengine hawaijui... Ila iwe sahihi sio ya wale tuma ktk namba hii
 
Kila kinachonunuliwa na serikali unajua bei yake?? Ukitaka kujua nenda ATCL au Wizara ya Fedha. Kila mtu na kazi yake wewe fanyakazi yako huwezi jua kila kitu unaweza kufa na stress tu.
Hahahhaa unajitahidi ila bado, usijibu hoja too general ununuzi wa ndege sio ununuzi wa maandazi au sio kama ununuiz wa chipsi zege ya hawara
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽Safi sana Mkuu kama ndani ya wiki tuliweza kuchanga 350 millions ili kuwakomboa viongozi wote kule lupango nina hakika hadi mid October si chini ya bilioni 2 inaweza kukusanywa. UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.

Kila mwezi nitachangia million 1 mpaka October.
 
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.

Nawaombeni msishangae kwa hilo kwa sababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.

CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.

CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.

Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...
Nitachangia kiasi cha laki moja ya Kitanzania kama mchango wangu wa hiari
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mnajitahidi kupiga chenga utakatishaji na fedha za maadui.

Hatuhadaiki.

Tanzania ina adui gani, ni Iran au North Korea? Nchi hii bado tuko kwenye elimu ya kunawa mikono ukitoka chooni ndio tuwe na maadui?
 
Matusi ingeku
Matusi kwa chadema hiiiii Sera mnaiwezaaa.
Vyama vyote kikiwemo hicho chako kinala kodi za watanzania. Halafu unabwabwaja eti kwa sheria gani?
Ila nikawaida yenuuu sacoss.
Tutawaomba mapato na matumizi ya hizo fedha mnazochangisha walalahoi huku nyie mnatembelea v8.

Unajua sheria ya chama chenye haki ya kupata ruzuku? Najua ww ni kilaza, ila nataka kujua kwa uhakika ukilaza wako ni wa kiwango gani.
 
Unajua sheria ya chama chenye haki ya kupata ruzuku? Najua ww ni kilaza, ila nataka kuju
Chadema inaongoza kupata fedha za ruzukuuu halafu kuwatoaza wabunge viti maalum kila mwezi million mojamojaaa, mumezipeleka waaapiiiii?
Acha ukanjanjaaaa
 
Kila mwezi nitachangia million 1 mpaka October.
Dah...miye sitachangia aslan...ni upumbavu tu...Yale makusanyo aliyokusanya mwenyekiti yako wapi? Lissu tulimchangia kiasi gani? Na kilitumika vipi? Wabunge waliopita wamepata kiinua mgongo zaidi 250 milioni...wamechangia kiasi gani? Tuache ujinga [emoji2960]
 
Nimeona jana hadi wazee wakitoa hela zao za tumbaku


Big up cdm
 
Kampeni zinaweza kumfanya mtu akadhani labda ruzuku huwa zinatoka mbinguni.
 
Naelewa sana Mkuu huyo anayejiita KICHAA hastahili kuendelea kuwepo madarakani. Ndani ya miaka mitano tu kaharibu kila kitu Nchini na kuleta hofu na chuki kubwa sana ndani ya jamii.
Huwa nawaangalia sana pro-ccm nacheka sana, kwa mfano Jana hapa Sumbawanga kama mshkaji kelele nyingi kisha baadae anataka kugongea kinywaji, yaani ni maskini kiakili, kimwili na kiroho. Wanaogopa mabadiliko
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom