Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Uchaguzi 2020 Naombeni tuchangie kampeni za CHADEMA kwa sababu tumeshachangia za CCM kupitia kodi zetu

Kipesa Chadomo chaliiiii, kwa hiyo safari hii Helicopter hatutoziona huku kwetu kijijini. Kweli . . . .Chama cha Mbowe pumzi imekata.
 
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.
Hamuwezi kwenda kwa style hii ya kukamua walala hoi,mmetafuna ruzuku sasa jasho linawatoka,ndio Mana Mbowe alimtaka Nyalandu,haya yasingekuwepo
 
Nawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.

Nawaombeni msishangae kwa hilo kwa sababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.

CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.

CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.

Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...
Msiwafanye wanchi ni wajinga,tuchange ku push maisha ya watu yasonge halafu masikini wabaki na umasikini wao! unadhani hiyo chadema hata ikiwa madarakani watafanya nini cha kuzidi alichofanya JPM? chadema ni wahuni tu na hataikija kutokea huko mbele chama hicho kikashika nchi tutakua tumegawa mali za wananchi kwa wakaskazini, labda chama hicho kijivue gamba
 
Back
Top Bottom