Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Tatizo linaanzia hapo.Kwa wenye UFINYU wa akili tu. Ni lini pesa zikatoka mbinguni? 😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo linaanzia hapo.Kwa wenye UFINYU wa akili tu. Ni lini pesa zikatoka mbinguni? 😳
Wakati mwingine mtoto anapochoka kufikiria humuoana hata anaemfundisha kuwa anampigia kelele.Kwa wenye UFINYU wa akili tu kama wewe.
Hamuwezi kwenda kwa style hii ya kukamua walala hoi,mmetafuna ruzuku sasa jasho linawatoka,ndio Mana Mbowe alimtaka Nyalandu,haya yasingekuwepoNawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.
Wakati mwingine mtoto anapochoka kufikiria humuoana hata anaemfundisha kuwa anampigia kelele.
Msiwafanye wanchi ni wajinga,tuchange ku push maisha ya watu yasonge halafu masikini wabaki na umasikini wao! unadhani hiyo chadema hata ikiwa madarakani watafanya nini cha kuzidi alichofanya JPM? chadema ni wahuni tu na hataikija kutokea huko mbele chama hicho kikashika nchi tutakua tumegawa mali za wananchi kwa wakaskazini, labda chama hicho kijivue gambaNawaombeni wananchi wote wapenda HAKI tujitoe kuchangia walau kuanzia sh.500 ili kufanikisha kampeni za CHADEMA.
Nawaombeni msishangae kwa hilo kwa sababu tayari fedha zote za kampeni za CCM ni michango yetu sisi wananchi kupitia kodi zetu.
CHADEMA wana sera nzuri sana kama tulivyozisikia hapo Kawe, ilihali CCM wenyewe wanakomaa na ndege ambazo kiuhalisia si kipaumbele cha watanzania.
CHADEMA TOENI NAMBA ZA SIMU NA BENKI MZISAMBAZE DUNIA NZIMA MPATE MSAADA.
Suala la kuchangisha mkiwa kwenye kampeni, binafsi silikubali, linakera. Mnachotakiwa kufanya, ni kutoa maelekezo namna ya kuchangia na si kutoa maelekezo ya kubonyeza *150*...