Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Umesahau wakuu a mashirika ya serikali na wakurugenzi wa halmashauri, manispaa na majiji...Kwa uelewa wangu mdogo
JUMLA - 508
- wakuu wa mikoa -31
- makatibu tawala wa mikoa - 31
- wakuu wa wilaya - 184
- makatibu tawala wa wilaya - 184
- Waziri mkuu - 1
- Naibu waziri mkuu - 1
- Mawaziri - 21
- Naibu waziri - 21
- IGP - 1
- CDF - 1
- Mkuu magereza - 1
- Mkuu usalama - 1
- wakuu wa vyuo - takriban 30
Na ma vc anateuwa yeye au?Wakuu wa vyuo
X - Y = Civil war.Ndiyo maana rais wa tz Huwa anajiona kama Mungu mtu kumbe ni upuuzi mtupu.mabadiliko ya katiba yanahitajika ili kumpunguzia hayo madaraka makubwa ya kimungu mtu