Naombeni tupige hesabu, Rais anateua watu wangapi nchini

Naombeni tupige hesabu, Rais anateua watu wangapi nchini

Wakurugenzi walipaswa wapigwe interview na secretariat ya ajira na iwe kazi ya mkataba...baada ya miaka kadhaa unatetea position yako kwa kusema ulichofanya
 
Baadhi ya sehemu kuna makisio, mfano sina data ya kujua idadi kamili ya mashirika, vyuo, n.k.

Turekebishane nilipokosea, weka nyongeza niliposahau

  • majaji wa mahakama - ???
  • wakuu wa mikoa Bara - 26
  • makatibu tawala wa mikoa Bara - 26
  • wakuu wa wilaya - 174
  • makatibu tawala wa wilaya - 174
  • Wakurugenzi watendaji wa halmashauri - 174
  • Waziri mkuu - 1
  • Naibu waziri mkuu - 1
  • Mawaziri - 21
  • Manaibu waziri - 21
  • Manaibu katibu wakuu wa wizara - 21
  • Mabalozi ( chanzo ) - 43
  • Mwanasheria mkuu - 1
  • Naibu mwanasheria mkuu - 1
  • wakili mkuu wa serikali - 1
  • Jaji mkuu - 1
  • CAG mkaguzi hesabu - 1
  • Gavana benki kuu - 1
  • Mkuu polisi - 1
  • Mkuu jwtz - 1
  • Mkuu jkt - 1
  • Mkuu magereza - 1
  • Mkuu usalama - 1
  • Mkuu uhamiaji - 1
  • Mkuu zimamoto - 1
  • Mkuu Takukuru - 1
  • wakuu wa vyuo (makisio) - 30
  • wakuu wa mashirika / taasisi (makisio) - 300
JUMLA - 1026
Idadi ya halimashauri huwa ni kubwa kuliko idadi ya wilaya. Kuna wilaya zina halimashauri zaidi ya moja.
 
Baadhi ya sehemu kuna makisio, mfano sina data ya kujua idadi kamili ya mashirika, vyuo, n.k.

Turekebishane nilipokosea, weka nyongeza

  • majaji wa mahakama - ???
  • wakuu wa mikoa Bara - 26
  • makatibu tawala wa mikoa Bara - 26
  • wakuu wa wilaya - 139
  • makatibu tawala wa wilaya - 139
  • Wakurugenzi watendaji wa halmashauri - 185
  • wabunge wanaoteuliwa na Rais - 10
  • Waziri mkuu - 1
  • Naibu waziri mkuu - 1
  • Mawaziri - 21
  • Manaibu waziri - 21
  • Manaibu katibu wakuu wa wizara - 21
  • Mabalozi - 43
  • Katibu wa Bunge - 1
  • Mwanasheria mkuu - 1
  • Naibu mwanasheria mkuu - 1
  • wakili mkuu wa serikali - 1
  • Jaji mkuu - 1
  • Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi - 1
  • Msajili wa vyama vya Siasa - 1
  • Naibu Msajili wa vyama vya Siasa - 1
  • CAG mkaguzi hesabu - 1
  • Gavana benki kuu - 1
  • DPP Mkurugenzi wa Mashtaka - 1
  • Mkuu polisi - 1
  • Mkuu jwtz - 1
  • Mkuu jkt - 1
  • Mkuu magereza - 1
  • Mkuu usalama - 1
  • Mkuu uhamiaji - 1
  • Mkuu zimamoto - 1
  • Mkuu Takukuru - 1
  • wakuu wa vyuo (makisio) - 30
  • wakuu wa mashirika, taasisi, idara na tume nyinginezo (makisio) - 400
JUMLA - 1,082
Msemaji wa serikali
 
Wakuu wote wa vitengo vya jeshi- kamandi za anga, nchi kavu, navy, intelejensia, mnadhimu mkuu
 
Atari sana hii ndo maana anaabudiwa kupitiliza hadi wanamuita mheshimiwa mungu
 
Halafu kumbuka waswahili kwa kuremba curricullum vitae zao na mheshimiwa yeye anaangalia cv halafu mengine yanafuata.

Unakuta mtu ana masters ya strategy wakati nyumba yake.mwenyewe kaishindwa kui manage.

Katiba mpya ilete nafasu hizi watu waziombe na wafanyiwe usaili kwenye televised interview.
 
Back
Top Bottom