EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Sawa mzeeKuniuliza swali hilo ni sawa na kuuliza rangi ya mkaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mzeeKuniuliza swali hilo ni sawa na kuuliza rangi ya mkaa.
Habari dada yangu kipenziKuna mashoga wa Dar walishikwa na kupelekwa geza ulole, baada ya miezi miwili mmoja, alikuwa maarufu sana Dar. akatoroka huko akawa anaonekana £Dar., anasema "heri ya jela kuliko huko, njaa tupu, mpaka mwanamme hakuna tena, ukiona ukuni umesimama ujuwe nyoka huyo, yamenishinda".
Kwa Dar es salaam, Chanika ndio mfano halisi wa kijiji cha ujamaa.Kwa Dar es Salaam ni Mbande (mbele ya Chamazi) na Gezaulole pia (Kigamboni)
Nyerere alianzisha miji midogo sio vijijiNasikia tu katika historia Mzee Nyerere alianzisha operesheni maalumu ya vijiji vya ujamaa..
Hali ilikuaje ilikuwa ni kwa force au kuhama kwa hiari.
Mwitikio ilikuaje je Kuna watu walipata madhara ya kisaikolojia na mali zao.je hilo zoezi lilifanikiwa na faida zake zipi?
Nasikia tu katika historia Mzee Nyerere alianzisha operesheni maalumu ya vijiji vya ujamaa.. Hali ilikuaje ilikuwa ni kwa force au kuhama kwa hiari. Mwitikio ilikuaje je Kuna watu walipata madhara ya kisaikolojia na mali zao.je hilo zoezi lilifanikiwa na faida zake zipi?
Binafsi naona faida kuliko hasaraNasikia tu katika historia Mzee Nyerere alianzisha operesheni maalumu ya vijiji vya ujamaa..
Hali ilikuaje ilikuwa ni kwa force au kuhama kwa hiari.
Mwitikio ilikuaje je Kuna watu walipata madhara ya kisaikolojia na mali zao.je hilo zoezi lilifanikiwa na faida zake zipi?
He!... Makubwa haya... Ukuni tena umesimama utadhani nyoka? 😲Kuna mashoga wa Dar walishikwa na kupelekwa geza ulole, baada ya miezi miwili mmoja, alikuwa maarufu sana Dar. akatoroka huko akawa anaonekana £Dar., anasema "heri ya jela kuliko huko, njaa tupu, mpaka mwanamme hakuna tena, ukiona ukuni umesimama ujuwe nyoka huyo, yamenishinda".
Kwa nini mashoga wengi wanaotambulika tangu zamani wamekuwa wakitokea pwani??Kuna mashoga wa Dar walishikwa na kupelekwa geza ulole, baada ya miezi miwili mmoja, alikuwa maarufu sana Dar. akatoroka huko akawa anaonekana £Dar., anasema "heri ya jela kuliko huko, njaa tupu, mpaka mwanamme hakuna tena, ukiona ukuni umesimama ujuwe nyoka huyo, yamenishinda".
Naona Malaya wa zamani kanyanyua kisimi kujutia relocationAlhamduliLlah nilikuwepo.
Hakuna faida hata moja, hasara tupu. Watu wengi walidhalilishwa na wengi kufa na nchi mpaka leo mekuwa kama mkorogo wa kienyeji.
Mngese huyo bibiHe!... Makubwa haya... Ukuni tena umesimama utadhani nyoka? 😲
Zamani ardhi ilikuwa tupu watu wachache acha uongo ..hapakuwa na shida ya mashamba hata hspa dar es salaam watuwalikuwa wanalima na ardhi inabaki bila kulimwaNyerere alianzisha miji midogo sio vijiji
Watu walihamishwa vijijini kwenye mashamba yao wakaenda kurundikwa kwenye ka mji watakapopewa maji shule na hospitali
Nyerete ndie aliua kilimo Tanzania kwa kuanzisha hivyo vi miji vyake
Toka hapo kilimo kikaanguka chali
Fake newsNyerere alianzisha miji midogo sio vijiji
Watu walihamishwa vijijini kwenye mashamba yao wakaenda kurundikwa kwenye ka mji watakapopewa maji shule na hospitali
Nyerete ndie aliua kilimo Tanzania kwa kuanzisha hivyo vi miji vyake
Toka hapo kilimo kikaanguka chali
Ila ujasiri wa mwamwindi ni noma 🫡🫡🫡😀, unamfyatua RC risasi halafu unambeba mpaka kituoni..!Maswala haya ya kuhamisha watu yalisababisha kutoka kwa mgogoro mkubwa sana baina ya mkulima mkubwa sana wa mahindi anayekwenda kwa jina la Mwamwindi wa pale isimani Iringa na J. Nyerere.
Ilikuwa Noma zaidi ya Noma.
Ndo maana mtoto wangu wa kwanza nimempa jina lake.Ila ujasiri wa mwamwindi ni noma 🫡🫡🫡😀, unamfyatua RC risasi halafu unambeba mpaka kituoni..!
Naam!Sawa mzee
Ok. Kumbe na Chanika pia. Maana niliwahi kutembelea Mbande mwaka 1998 ikiwa ni sampuli ya Kijiji cha Ujamaa kwa miaka hiyo ya kati ya 1970s.Kwa Dar es salaam, Chanika ndio mfano halisi wa kijiji cha ujamaa.
Vijiji vya Ujamaa vilianza 1974 kwa lengo la kuwakusanya wananchi kukaa pamoja kwa ukaribu na kuzalisha mali e.g kilimo na ufugaji. Sina ufahamu hao wakazi wa Mbande au Gezaulole serikali iliwaweka hapo kutokea wapi. Ila vitabu vimeainisha vijiji vingi vilivyokuwepo e.g Mbande, Chanika n.k. Vipo vitabu vilivyoandika kuhusu vijiji vya Ujamaa ktk Makala yake kama vile: SOCIALISM IN TANZANIA (1972); Volume 1. Kimehaririwa na Cliffe & Saul, J.S.Asante mkuu.
Walitokea wapi? Una ushahidi wowote ule? Labda kutoka kwenye kitabu, gazeti, makala n.k hii itatusaidia sana baadhi ya watanzania ambao tunayasikia haya leo.
Asante