Nijuavyo mimi kitu chochote ukisomea hapa Tanzania soma vyuo ambavyo vina network kubwa ya kukuongezea uwezekano wa kukupa ajira hata kama huna connection, haya mambo ya kuwa nondo / kuiva ni kupotoshana kwa elimu ya bongo, mambo ya unondo waachie wahindi. wazungu, wachina, n.k. wanaobuni solutions, kufanya projects, kuanzisha start ups zinazofanikiwa, n.k.
Hivyo basi nashauri usome vyuo vyenye probability nzuri ya kukupa ajira kama UDSM kwasababu karibi 70% ya viongozi wa taasisi na mashirika wamesoma hapa na huwa hawasemi lakini kuna upendeleo flani wanawapa wahitimu wa udsm kwenye ajira na fursa nyinginezo kama scholarships, grants, n.k.
Vyuo vingine ni kama Mzumbe na Udom, ni vyuo vilivyoweza kutoa watu wengi waliosambaa kwenye yop system hivyo network yao sio haba,
Ukishindwa hapo nenda vyuo vingine kama DIT, MUST, Arusha Tech, n.k. Ni vyuo vya sayansi vinavyosifika kuwa vigumu na wanafunzi wao hujisifu wapo nondo lakini mwisho wa siku wakihitimu hawawezi kutumia unondo huo kujitegemea kubuni vitu au kufanya projects za maana kwasababu elimu ya bongo ipo nyuma sana katika ulimwengu wa kisasa, na wao wanaanza kugombania ajira.
Make a wise choice