AsanteMkuu pambana kuongeza kipato. Ni hayo tu.
Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kaziBro unayumba sana.
Unayumba siyo kawaida.
Hivi ushapiga hesabu na ukapata jibu kabisa kwamba hicho kibarua chako kikiota majani utaishi vipi[emoji16]?
Kiufupi tu mimi nakushauri upunguze matumizi amabayo hayana ulazima sana + kutengeneza plan B.
Yaan mradi amabao utakuhakikishia kula. Fanya biashara, kilimo au ufugaji.
Vya kufanya vipo vingi. Panga na mke wako.
Hao wanafamilia nao angalia wasikurudishe nyuma pia. Wasaidie kiasi fulani siyo mpaka ushindwe kufanya mambo ya msingi.
Kw mfano huyo dogo aliyefeli form4. Fanya mopango umuwezeshe kupata shughuri ya kufanya. Usimurudishe xkul.
OkUsikae na loosers.....ukikaa bar...ukakuta watu wanagonga beer za kutosha bila mawazo....na ww fanya hivyo hivyo jenga nao urafiki.....baadae mfaamiane....kisha waulize wao wanafanya shuhuli gani.....kama ni za halali stick to them you will get somewhere....hakuna watu wana connection kama walevi ama wanywaji.....tek it to the bank... goodnight
Maana fupi ya Neno SALARYKwa muda wa miaka minne nimekaa na tatizo hili sasa ninadhani ni wakati muafaka wa kuomba ushauri!!
Mimi ninafanya kazi inayoniingizia kwa mwezi sh.700,000/= tasilimu.Sijajenga nyumba ila nina uwanja.
Naombeni ushauri namna ya kupanga bajeti na kuiishi.Nipo jijini Mbeya.
Nimepanga ninalipa sh.100000/= kama kodi ya nyumba kwa mwezi.Kazi ninayofanya inaniacha huru jumamosi na jumapili tu.
Nina mke na watoto wawili.Ingawa siishi nao ila nina wadogo zangu 4 wananitegemea pamoja na mama yangu!Kwa miaka hiyo nimekuwa kama ninapigamarktime!
Bila kusonga mbele.NISAIDIENI NAMNA YA KUPANGA BAJETI NA KUIFUATA!!!!!
Duuuu!!!Maana fupi ya Neno SALARY
S=Small
A=Amount
L=Limiting
A=And
R=Restricting
Y=You
Ufafanuzi tafadhali bado sijakuelewaUnapofeli ni unapanga bajeti ndio una save.ukweli ni kwamba save kiasi kadhaa ndio upange budget,yaani labda unaseve laki mbili kwanza ndio ipange budget yako iangukie within 500k
Save kwanza kiasi cha pesa kwaajil ya maendelea pindi upatapo pesa/mshahara ndipo kiasi kilichobaki ndio ukitumie kwenye matumizi mengine ya kawaida yaan isiwe kinyume chakeUfafanuzi tafadhali bado sijakuelewa
Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi!Maeneo uliyonitajia sijawahiishi huko ila itabidi niyazungukie nipate picha kamili!Kwanza punguza Kodi ya nyumba,kapange nyumba ya 60000 kwa mwez mbeya mjin nyumba sio bei sana,nimeishi hapo for 10 years uyole,ituha,mama John hata I'd yako inamaanisha chumvi(nakijua kisafwa )
2_baada ya ku regulate Bei ya nyumba,bana matumiz nunua vitu vya kula vya jumla Pia Hao ndugu zako punguza msaada waambie upo vibaya ukifanya hivyo utakuwa na akiba nzuri tu
AsanteSave kwanza kiasi cha pesa kwaajil ya maendelea pindi upatapo pesa/mshahara ndipo kiasi kilichobaki ndio ukitumie kwenye matumizi mengine ya kawaida yaan isiwe kinyume chake
Asante kwa ushauri!Ninaishi na familia yangu tu!Ndugu siishinao!Acha kuendekez familia saidia pale inapobid kila mtu anamikono akafanye kazi usipojitambua utazeeka hvohvo umri haumsubir mtu watoto wanakua majukumu yanaongezeka we unaezaje kuish na ndugu wote hao kwan kabla ya hapo hawakuwa na mahal pa kuishi M naona kujitambua n muhimu kuliko bajet unayoiomba
Wewe umepata ngapi?Mbona hazifiki laki saba? Hela zingine unapeleka wapi?
Hana cha 'kusave' hiyo aliyoandika 'Akiba' ni nini?
Ni kweli nipo mkoa wa Rukwa na mara kadhaa hufika hapo Mbeya kikazi, Kiukweli bei ya Vyakula na Vitu Vingine ni Kubwa Tu Tofauti na Watu WanavyosemaKaka Mbeya haiko kama tunavyofikiria!Sasa hivi maisha ni magumu.Vyakula bei iko juu!!Unaweza shangaa kukuta chakula kinauzwa bei nafuu Buguruni lakini hicho hicho tunakinunua bei kubwa Mbeya!Niko Mbeya mjini hapa bei za vyakula iko juu.Imefikia wakati watu wanatoka Mbeya na kwenda mkoa wa Rukwa kununua chakula!!!
Asante sana mkuu!!Huo ndio ukweli!Maisha ya Mbeya hayako kama yanavyosemwa na watu!Mfano kuna mwaka nilikuwa naelekea Dar,mtu mmoja akaniambia nimpelekee kilo 25 za mchele.Nilipokwenda sokoni na kumwambia gharama ilivyo aliniambia niache!Akadai bora anunue hapo Buguruni anapoishi!!Ni kweli nipo mkoa wa Rukwa na mara kadhaa hufika hapo Mbeya kikazi, Kiukweli bei ya Vyakula na Vitu Vingine ni Kubwa Tu Tofauti na Watu Wanavyosema
Maisha Mbeya Ni Ghali Basi Tu Vile Watu Wanapenda Kuongea Wasichokijua
Ok hata kama uishi nao bado wajengee kujitegemea full stop ujue kuna vtu vya msingi vya kusaidia na shida nyingine n za kawaida ambazo mtu anatatua mwenyeweAsante kwa ushauri!Ninaishi na familia yangu tu!Ndugu siishinao!