Gomegwa G
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 414
- 539
Bro unayumba sana.
Unayumba siyo kawaida.
Hivi ushapiga hesabu na ukapata jibu kabisa kwamba hicho kibarua chako kikiota majani utaishi vipi[emoji16]?
Kiufupi tu mimi nakushauri upunguze matumizi amabayo hayana ulazima sana + kutengeneza plan B.
Yaan mradi amabao utakuhakikishia kula. Fanya biashara, kilimo au ufugaji.
Vya kufanya vipo vingi. Panga na mke wako.
Hao wanafamilia nao angalia wasikurudishe nyuma pia. Wasaidie kiasi fulani siyo mpaka ushindwe kufanya mambo ya msingi.
Kw mfano huyo dogo aliyefeli form4. Fanya mopango umuwezeshe kupata shughuri ya kufanya. Usimurudishe xkul.
Unayumba siyo kawaida.
Hivi ushapiga hesabu na ukapata jibu kabisa kwamba hicho kibarua chako kikiota majani utaishi vipi[emoji16]?
Kiufupi tu mimi nakushauri upunguze matumizi amabayo hayana ulazima sana + kutengeneza plan B.
Yaan mradi amabao utakuhakikishia kula. Fanya biashara, kilimo au ufugaji.
Vya kufanya vipo vingi. Panga na mke wako.
Hao wanafamilia nao angalia wasikurudishe nyuma pia. Wasaidie kiasi fulani siyo mpaka ushindwe kufanya mambo ya msingi.
Kw mfano huyo dogo aliyefeli form4. Fanya mopango umuwezeshe kupata shughuri ya kufanya. Usimurudishe xkul.