Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Kwahiyo mkuu ni Bora useme hujakuepo
 
Kuna rafiki yangu tulimaliza pamoja O level, miaka ya 2006 seminari moja ipo kanda ya ziwa. kipindi tuko chuo, alipangiwa field Zanzibar. Ameamka asubuhi na mapema kuwahi usafiri na mabegi yake maana alifikia kwa kaka yake alikuwa mhadhiri UDSM. Kuna watu walikuwa wanamkimbiza mwizi, mwizi akafanikiwa kuwatoroka, bahati mbaya kwenye harakati za kumtafuta mwizi wakakutana na huyu rafiki yangu na mabegi yake. Jamaa bila hata kumhoji wakamuitia mwizi, walimpiga na kmwua pale Pale, na haikuwa mbali na kwa kaka yake. R.I.P Y.M Died young and innocent, ulikuwa jinias kwelikweli, waliua ndoto zako.
 
Ukiwa na hela utatoka chap.
 
Kweli wanaume mmepiga mwizi na hajafa, hayupo wodi mahututi na anapata jeuri ya kuja kutafuta waliompiga...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…