Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Yupo mahututi ila anaongeaKweli wanaume mmepiga mwizi na hajafa, hayupo wodi mahututi na anapata jeuri ya kuja kutafuta waliompiga...!
Hamna sijakamatwa mkuusimu umeipataje ukaanza kuchat acha uongo ukikamatwa unanganywa simu
DuuhUkijichanganya ukatajwa umeisha
DuuhGunner Leo umekuwa mpole mzee wangu kweli lockup mbaya 😂
BRAZA CHOGO hakikisha gunner analala ndani mpaka June ....... Sawaaaaaaaah
Andaa mzigo broo.Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.
Duuh hatariAndaa mzigo broo.
Wanasemaga "...kuingia ni bure ila unatoka na PESA"
Vipi tabia ya wezi kuua watu na kuwaibia Kuna sehemu imeandikwa hiyo mkuuTabia ya kupiga mwizi ni tabia ya kishetani.
Labda mungu Allah (ant Christ) ndiye anaweza kuruhusu hiyo tabia. Ila according to Jehovah form the time of pre old testament, old testament, and New testament hakuna mahali ameruhusu tabia chafu ya kupiga mwizi
Jinsi ulivyo na wasi wasi itakua umemuonja makwezi weweHamna mkuu
Hamna sijamuonjaJinsi ulivyo na wasi wasi itakua umemuonja makwezi wewe
Je, katiba na Sheria ya nchi yako inaruhusu kuua mwizi kinyama?Vipi tabia ya wezi kuua watu na kuwaibia Kuna sehemu imeandikwa hiyo ?
Au ni yule mwizi wa tegeta alieuliwa na TRA unaemuongelea hapaHuku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.
Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.
Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.
Wewe sema tu ukweli ili upate ushauri wa kukuokoa,ulirusha mawe mangapi?Huku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.
Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.
Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.