Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

simu umeipataje ukaanza kuchat acha uongo ukikamatwa unanganywa simu
 
Tabia ya kupiga mwizi ni tabia ya kishetani.
Labda mungu Allah (ant Christ) ndiye anaweza kuruhusu hiyo tabia. Ila according to Jehovah form the time of pre old testament, old testament, and New testament hakuna mahali ameruhusu tabia chafu ya kupiga mwizi
 
Tabia ya kupiga mwizi ni tabia ya kishetani.
Labda mungu Allah (ant Christ) ndiye anaweza kuruhusu hiyo tabia. Ila according to Jehovah form the time of pre old testament, old testament, and New testament hakuna mahali ameruhusu tabia chafu ya kupiga mwizi
Vipi tabia ya wezi kuua watu na kuwaibia Kuna sehemu imeandikwa hiyo mkuu
 
Vipi tabia ya wezi kuua watu na kuwaibia Kuna sehemu imeandikwa hiyo ?
Je, katiba na Sheria ya nchi yako inaruhusu kuua mwizi kinyama?
Kuna rafiki yangu alikuwa mwanafunzi UDSM yeye na mdogo wake wa baba mmoja mama mmoja waliuwawa na watu kama wewe wasio na akili timamu.
Waliporudi chuo usiku wakielekea hostel wawili wezi waliwavamia kwakuwa vijana ndo kwanza walikuwa wanetoka jkt wakawapiga wale wezi vizuri. Wezi wakaanza kuwaitisha jamaa ni wezi . Wakauwawa na kuchomwa moto . Watu ambao nawafahamu vizuri wenye tabia njema waliuwawa na group la vibaka pamoja na wananchi matahira. Ilipojulikana ikawa too late
 
Mimi kama mmiliki wa boda boda na bajaji nasema pia wewe ulishiriki na nia yenu ilikua ni kumtoa uhai kijana wa watu🤔
 
Huku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.

Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.

Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.
Au ni yule mwizi wa tegeta alieuliwa na TRA unaemuongelea hapa
 
Hama mtaa tu jela sio kuzuri. Na kama umempiga kweli muombe Mwenyezi Mungu msamaha na usirudie tena kupiga watu ambao huna uhakika kama ni wezi au la. Huwenda hakuwa mwizi kweli
 
Huku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.

Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.

Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.
Wewe sema tu ukweli ili upate ushauri wa kukuokoa,ulirusha mawe mangapi?
 
Back
Top Bottom