Naombeni ushauri kuhusu kuoa

Naombeni ushauri kuhusu kuoa

Hamza Nsiha

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
221
Reaction score
197
Ndugu wana JamiiForums ninapenda kuomba ushauri hivi nikitaka kuoa nizingatie sifa zipi (characteristics)

Kwasababu hivi sasa hakuna ndoa imekuwa ni complex organization ambayo inaundwa na vipengele vidogo vidogo vingi.

Unaweza oa kwa kuangalia hiki, then mkashindwana kwa kile.

Hivyo basi, mwenye anaona certain characteristics ndio excellent kwenye ndoa anieleze kidogo ili nijue kama ni kabila, rangi ya ngozi, shepu n.k
 
Imani pekee inatosha kukufanya uwe na familia. Ukiona unaweweseka mpaka kuomba ushauri huku, tambua huna imani na hutoiweza hiyo ndoa.

Kaa kwa kutulia siku ukiwa na imani utaoa bila kuuliza
 
KUOA NI KUHITAJI MTU WAKUKAMILISHA VITU AMBAVYO HUWEZI KUVIFANYA KWA SABABU TOFAUT TOFAUT. ukielewa hii sentensi huitaj ushauri wa mtu yoyt wala kujiuliza wahitaj nini.

Hii ni complete definition ya ndoa anae bisha aseme
 
Mwangalie Ronaldo na wengine, inatakiwa mkae kwenye uchumba muda mrefu na mzae kabisa.
Siunajua ukioa unaoa familia yote na matatizo yao yote, akiwa mchumba tu anakua na heshima kidogo.
 
Screenshot_20230510-233754_2.png

Vipi huu unatosha au tuongezee ongezee nyama
 
Back
Top Bottom