Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 221
- 197
Daah hapana hapana nauliza tuuNafkiri unataka kuachana na suala la ndoa.
Hakuna mwenye jibu zaidi yako.Daah hapana hapana nauliza tuu
Umeoaπ€, tuanzie hapaπ€tafta wazee wenye uzoefu au wazazi kama wapo, wakushauri.... mambo ni mengi hili swala usilichukulie kiwepesi
Sasa una toaje ushauri kuhusu ndoaπ€π€.sijaoa
Hiyo kuwa Tafuta wazee ni nini ππ€£πsijashauri mbona, nimemuambia atafte wazee
Acha kuipotosha jamii ya watanzania.View attachment 2715844
Vipi huu unatosha au tuongezee ongezee nyama
Asante sana mkuutafta wazee wenye uzoefu au wazazi kama wapo, wakushauri.... mambo ni mengi hili swala usilichukulie kiwepesi
Nko nae tuko na miaka minneUwe na mchumba ambae mtakaa mda mrefu mkichunguzana.