Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mama ana tatizo kubwa aliloshindwa kulitatua mapema sasa linamuandama hadi uzeeni.
Poleni sana.
Tatizo gani madame!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ana tatizo kubwa aliloshindwa kulitatua mapema sasa linamuandama hadi uzeeni.
Poleni sana.
Wajomba huenda choka mbaya wanamtegemea dada Yao kwa pesaOfcourse naungana na mama yenu...she is right .mie nasemaga haya mambo usijudge..mama inaonekana hawezi ishi alone...anahitaji faraja..sema anakosea kuleta hapo mwanaume wake bora muwaambie wajomba..ila sio nyie alafu malizeni kusoma muondoke hapo mmpe mama wa watu uhuru..life is too short to complain!..msihukumu msije mkahukumiwa!
Mama yenu hawezi kuishi bila mwanaume...
24+ muhame mkaishi kwenu, yupo hivyo miaka yote inaonekana tokea avunje sinia....mumuache mama afurahie mgegedo, vipi nyie??
Mnataka kugombea URITHI, baba wanne tofauti ni ishara mjitegemee...mtafute vyenu...hapo hamna chenu!
Everyday is Saturday.......................... 😎
.Tatizo gani madame!
"Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52,Jambo linalotusumbua ni kuwa" Mama
Nyie watu wazima what are you doing at your mum's home......she has her own life leave her alone she sacrificed for you and educated you that's enough go away at 52 she still needs a man to entertain her.......nyie siwelewi kabisa wengine tumeanza maisha at 18 na timefanikiwa mkbali tu, hayo ya mama wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajomba huenda choka mbaya wanamtegemea dada Yao kwa pesa
Pole sana.Habari zenu,
Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba zetu kuna moja wao ndio tumekuliwa kwake toka tukiwa wadogo badaye miaka 6 iliyopita Mama alitengana Nate.
Mama ni mtumishi wa umma, hivyo alinunua kiwanja na kujenga nyumba ambapo watoto wote 4 tuliongozana nae na kwenda kuishi nae, maana haikuwezekana kukaa tena kwa huyo baba mlezi sababu katika wathili.4 tuliobaki kati yetu 1 tu ndio mwanae kwahiyo ikabidi wote sisi sote tuongozane na mama. Ikumbuke kuwa katika sisi watoto 4, mtoto 1 hamjui baba yake wengine 2 Baba yao alifariki na mtoto 1 baba take ndio huyo aliyetulea.
Sisi sote miaka yetu ni 24+ na Mama yetu ni 52, jambo linalotusumbua ni kuwa Mama yetu ana mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu. Jamaa huyu huwa anakuja na kulala hapa nyumbani karibu kila siku; huwa anasitisha kuja pale ambapo kaka yetu mkubwa akija nyumbani.
Ndugu na marafiki wamejaribu kumshauri mama kuwa tayari umri umekwenda na ana vijana wakubwa anatakiwa kuacha mambo hayo pasipo mafanikio, haelezeki wala haambiwi chochote. Kwa sasa tumefunga chuo sababu ya hii CORONA nipo hapa home naona aibu kijiji kizima kinatuzungumza.
Kaka yangu mkubwa alijaribu kuongea na muyo bwana mwaka jana; kwa kweli jamaa alisitisha kama miezi 2 hivi pasipo kuonekana, badaye ratiba ikaanza kama kawaida nimemjulisha kaka atafute siku 3 nyumbani tusaidiane kutatua tatizo hili. Pia, kila tukimsuhi Mama kuacha hiyo tabia majibu anayotupa ni kuwa huu mji ni wake na hamna aliyemsaidia kujenga hivyo anafanya chochote atakacho.
Ndugu zangu wana JF, naombeni msaada wa mawazo namna ya kutatua tatizo hili.
Ungeweza kukaa kimya. Tatizo alilonalo mtoa Uzi siyo la kubeza.Wacheni Mama afurahie maisha. Hapo Ni kwake. Tafuteni kwenu. Usikute ba Mdogo anampa Mambo ya Saudia
Wacheni Mama afurahie maisha. Hapo Ni kwake. Tafuteni kwenu. Usikute ba Mdogo anampa Mambo ya Saudia
Hamna tatizo hapo. Msimpangie Mama yenu Nani wa ku-enjoy nae. Wacheni Mama afurahie uumbaji. Mm mwenyewe ninakula Mama wa design hiyo kwake Sinza Madukani naujua utamu wake. Hapo Jamaa analenga pensheni
Acheni Mama afurahie utramu. Maamuzi ya Mama mzaa chema yaheshimiweSio fresh kusema maneno ya kuudhi kwa mama wa mwenzako!..imagine wewe uambiwe hivi?
Mkuu, ukute maza anawa-frustrate makusudi hawa vijana wahame..Ikiwaga hivyo hakunaga hata kikao😄😄😄..salute kwa sisy yao..lols..pesa ndo mchawi wao
kwa kweli mamaza huwa wanaharibu sana kuzaa na wanaume wengiNimewazaaaa nikashindwa cha kuwashauri. Sababu huwezi sema mtumie ndugu as kila mtu ana mjomba wake, shangazi yake, baba mkubwa&mdogo wake, babu yake, yaani vululu vululu.
Cha msingi hapo kaeni mbali na matendo ya mama yenu msije mkaingia kwenye laana zisizo za lazima. Kwa kuwa mmeshamshauri na hashauriki kaeni kimya. Kuweni busy na mambo yenu wala msiwaze hayo matendo ya mama yenu kwani mtajipa stress za buree.
Unforgetable