Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

Asante ndugu yangu dah
Ila mbona anaonesha dalili kama ananipenda hivi.

Na cha ajabu uo ufupi anao ni tukana yeye si mrefu kwangu sema kako kembamba mimi Nina mwili kidogo.

Hakufai, kwanza ulivosema kembamba nahisi kama bwawa.
 
Huko Canada unaishi wapi vijijini au?..maana ilibidi uwe na uwezo wa kupambanua mambo..au umelogwa?

Achana na hao watu mara moja..upo desperate sana.

Sema hii pia inaweza kuwa chai.
 
12,000 dollars? Seriously? Thread nzima hicho ndo nilichokiona
Hapa namimi akili inagoma. Ameanza kusomea Tz, hiyo inanipa picha kuwa hata wazazi wake walikuwa hapahapa Tz kabla hawajaondoka. Inamaanisha nao wanajua tamaduni za Tanzania.
Kwamba wazazi wakakubali kuna kabila linatoza mahari ya $15,000 (30 mill) hapahapa bongo???
Na je dogo ndiye alikuwa anapeleka mahari hiyo bila mshenga??? Je mshenga naye aliikubali hiyo mahari?
 
Kwa akili hizo bora utoke canada uje huku tandahimba
 
Hapa namimi akili inagoma. Ameanza kusomea Tz, hiyo inanipa picha kuwa hata wazazi wake walikuwa hapahapa Tz kabla hawajaondoka. Inamaanisha nao wanajua tamaduni za Tanzania.
Kwamba wazazi wakakubali kuna kabila linatoza mahari ya $15,000 (30 mill) hapahapa bongo???
Na je dogo ndiye alikuwa anapeleka mahari hiyo bila mshenga??? Je mshenga naye aliikubali hiyo mahari?

Mshenga or not hvi kuna mtu is willing to spend that kind of cash kwenye mahari ama kweli mapenzi upofu.... ngoja nitulie
 
Ndugu zangu naomba ushauri

Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada.

Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada.

Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi nikampenda sana.

Mpaka ilifikia hatua pesa zangu za mwaka nilizo pokea huku Canada milioni 34 nikanunua nyumba Dar es salam, nikawahamisha kutoka kijijini kwao nikawapeleka Dar yeye na ndugu zake, nikamfungulia saloni ya kike pamoja na restaurant na nikawa namsaidia kwenye mahitaji mengine kila mwezi nikawa namtumia laki 4 za kitanzania.

Sasa ikafika kipindi 2020 nikasema niende kumuona mwanamke wangu. Mimi kufika tu familia yake wakanikatalia eti hauja weka Mahari kwa hiyo haurusiwi kuwa na mtoto wetu.

Nikapiga simu Canada wazazi wangu wakanitumia shilling milioni 5 nikaenda kuweka kwao wakakataa eti izo ndogo mtoto wetu bila dolar 15000 hatoki hapa.

Nikawaambia wazazi wangu wakasema hapa tuna dollar 7000 nikaomba msaada kwa marafiki zangu wakanisaidia nikapata dollar 12000.

Nikaenda kuweka Mahari nikawaambia nataka kumchukuwa mke wangu wakakataa eti huwezi mchukua mpaka hizo zingine umalize nikakubali masharti yao.

Sasa cha ajabu huyo mwanamke nilivyoonana naye mara ya kwanza akaanza kunitukana kuniambia mimi niko sawasawa na mtoto wao wa mwisho yaani ana nizidi kimo kidogo tu. Nikamwambia kwanini una sema hivyo nikamshauri akanisikiliza.

Sasa akabaki kunidharau pale nitakapo mkasirisha ananitukana
kuna kipindi aliniambia eti mimi ni kamwanaume gani hawezi eti kunitambulisha kwa marafiki zake eti mimi ndio mume wake yote hayo nilisikia nikamsamahe kipindi kingine alinikosea kuniambia nilivyo mfupi ndivyo akili yangu ilivyo fupi nikmsamehe.

Sasa nilivyo rudi nyumbani nikaja na wazo la kumleta huku sasa na nilikuwa nafanya kila nikikumbuka dharau zake pesa nilizo andaa kupambania kuja kwake huku nanununua pombe yangu.

Nilimwambia tuachane na ndani ya nyumba yangu watoke na biashara zangu nafunga akanijibu kwa jeuri eti yeye ni mrembo hawezi kosa wa kumuoa sasa cha ajabu siku hizi ananiandama ananiambia nimsamehe ule ulikuwa utoto sasa hivi amekua kwa hiyo hatorudia kosa lake.

Sasa swali anayekupenda kweli anaweza kukuonyesha dharau na kiburi?
Usinifanye nifungulie swaumu ya gu chai hiiiiiii hainyweki eboooo
 
Dah kak unafer Umeish Canada alaf bado unajipendekeza kwa manz wa ivo na mshahara wa lak 4 kila mwez unamlipa !!
Cha zaid alichonacho ni nin kinachokufany uwaze kuendelea kuwa nae coz umeandka upande wake wa ubaya tu labd ana kingne special ambach hujakiwek waz
 
[emoji1]
teabag.jpg
 
Us doller 15000[emoji20][emoji20]?!,kutakuw na tatizo mahali...
 
Ndugu zangu naomba ushauri

Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada.

Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada.

Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi nikampenda sana.

Mpaka ilifikia hatua pesa zangu za mwaka nilizo pokea huku Canada milioni 34 nikanunua nyumba Dar es salam, nikawahamisha kutoka kijijini kwao nikawapeleka Dar yeye na ndugu zake, nikamfungulia saloni ya kike pamoja na restaurant na nikawa namsaidia kwenye mahitaji mengine kila mwezi nikawa namtumia laki 4 za kitanzania.

Sasa ikafika kipindi 2020 nikasema niende kumuona mwanamke wangu. Mimi kufika tu familia yake wakanikatalia eti hauja weka Mahari kwa hiyo haurusiwi kuwa na mtoto wetu.

Nikapiga simu Canada wazazi wangu wakanitumia shilling milioni 5 nikaenda kuweka kwao wakakataa eti izo ndogo mtoto wetu bila dolar 15000 hatoki hapa.

Nikawaambia wazazi wangu wakasema hapa tuna dollar 7000 nikaomba msaada kwa marafiki zangu wakanisaidia nikapata dollar 12000.

Nikaenda kuweka Mahari nikawaambia nataka kumchukuwa mke wangu wakakataa eti huwezi mchukua mpaka hizo zingine umalize nikakubali masharti yao.

Sasa cha ajabu huyo mwanamke nilivyoonana naye mara ya kwanza akaanza kunitukana kuniambia mimi niko sawasawa na mtoto wao wa mwisho yaani ana nizidi kimo kidogo tu. Nikamwambia kwanini una sema hivyo nikamshauri akanisikiliza.

Sasa akabaki kunidharau pale nitakapo mkasirisha ananitukana
kuna kipindi aliniambia eti mimi ni kamwanaume gani hawezi eti kunitambulisha kwa marafiki zake eti mimi ndio mume wake yote hayo nilisikia nikamsamahe kipindi kingine alinikosea kuniambia nilivyo mfupi ndivyo akili yangu ilivyo fupi nikmsamehe.

Sasa nilivyo rudi nyumbani nikaja na wazo la kumleta huku sasa na nilikuwa nafanya kila nikikumbuka dharau zake pesa nilizo andaa kupambania kuja kwake huku nanununua pombe yangu.

Nilimwambia tuachane na ndani ya nyumba yangu watoke na biashara zangu nafunga akanijibu kwa jeuri eti yeye ni mrembo hawezi kosa wa kumuoa sasa cha ajabu siku hizi ananiandama ananiambia nimsamehe ule ulikuwa utoto sasa hivi amekua kwa hiyo hatorudia kosa lake.

Sasa swali anayekupenda kweli anaweza kukuonyesha dharau na kiburi?
Kama amekufanyia yote hayo naumeshindwa chakufanya achana nae
 
Ndugu zangu naomba ushauri

Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada.

Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada.

Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi nikampenda sana.

Mpaka ilifikia hatua pesa zangu za mwaka nilizo pokea huku Canada milioni 34 nikanunua nyumba Dar es salam, nikawahamisha kutoka kijijini kwao nikawapeleka Dar yeye na ndugu zake, nikamfungulia saloni ya kike pamoja na restaurant na nikawa namsaidia kwenye mahitaji mengine kila mwezi nikawa namtumia laki 4 za kitanzania.

Sasa ikafika kipindi 2020 nikasema niende kumuona mwanamke wangu. Mimi kufika tu familia yake wakanikatalia eti hauja weka Mahari kwa hiyo haurusiwi kuwa na mtoto wetu.

Nikapiga simu Canada wazazi wangu wakanitumia shilling milioni 5 nikaenda kuweka kwao wakakataa eti izo ndogo mtoto wetu bila dolar 15000 hatoki hapa.

Nikawaambia wazazi wangu wakasema hapa tuna dollar 7000 nikaomba msaada kwa marafiki zangu wakanisaidia nikapata dollar 12000.

Nikaenda kuweka Mahari nikawaambia nataka kumchukuwa mke wangu wakakataa eti huwezi mchukua mpaka hizo zingine umalize nikakubali masharti yao.

Sasa cha ajabu huyo mwanamke nilivyoonana naye mara ya kwanza akaanza kunitukana kuniambia mimi niko sawasawa na mtoto wao wa mwisho yaani ana nizidi kimo kidogo tu. Nikamwambia kwanini una sema hivyo nikamshauri akanisikiliza.

Sasa akabaki kunidharau pale nitakapo mkasirisha ananitukana
kuna kipindi aliniambia eti mimi ni kamwanaume gani hawezi eti kunitambulisha kwa marafiki zake eti mimi ndio mume wake yote hayo nilisikia nikamsamahe kipindi kingine alinikosea kuniambia nilivyo mfupi ndivyo akili yangu ilivyo fupi nikmsamehe.

Sasa nilivyo rudi nyumbani nikaja na wazo la kumleta huku sasa na nilikuwa nafanya kila nikikumbuka dharau zake pesa nilizo andaa kupambania kuja kwake huku nanununua pombe yangu.

Nilimwambia tuachane na ndani ya nyumba yangu watoke na biashara zangu nafunga akanijibu kwa jeuri eti yeye ni mrembo hawezi kosa wa kumuoa sasa cha ajabu siku hizi ananiandama ananiambia nimsamehe ule ulikuwa utoto sasa hivi amekua kwa hiyo hatorudia kosa lake.

Sasa swali anayekupenda kweli anaweza kukuonyesha dharau na kiburi?
Umeshapata somo zuri, wala asikukondeshe! Mahari milioni 30 na ushei? Wewe kweli akili zako fupi!
 
Back
Top Bottom