Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

Kitendo cha kusema demu ulikutana nae kweny mtandao kinatosha,aya ebu lete story nyngine vp hapo canada naweza pata hata mishe ya ubeba box?
 
Ndugu zangu naomba ushauri

Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada.

Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada.

Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi nikampenda sana.

Mpaka ilifikia hatua pesa zangu za mwaka nilizo pokea huku Canada milioni 34 nikanunua nyumba Dar es salam, nikawahamisha kutoka kijijini kwao nikawapeleka Dar yeye na ndugu zake, nikamfungulia saloni ya kike pamoja na restaurant na nikawa namsaidia kwenye mahitaji mengine kila mwezi nikawa namtumia laki 4 za kitanzania.

Sasa ikafika kipindi 2020 nikasema niende kumuona mwanamke wangu. Mimi kufika tu familia yake wakanikatalia eti hauja weka Mahari kwa hiyo haurusiwi kuwa na mtoto wetu.

Nikapiga simu Canada wazazi wangu wakanitumia shilling milioni 5 nikaenda kuweka kwao wakakataa eti izo ndogo mtoto wetu bila dolar 15000 hatoki hapa.

Nikawaambia wazazi wangu wakasema hapa tuna dollar 7000 nikaomba msaada kwa marafiki zangu wakanisaidia nikapata dollar 12000.

Nikaenda kuweka Mahari nikawaambia nataka kumchukuwa mke wangu wakakataa eti huwezi mchukua mpaka hizo zingine umalize nikakubali masharti yao.

Sasa cha ajabu huyo mwanamke nilivyoonana naye mara ya kwanza akaanza kunitukana kuniambia mimi niko sawasawa na mtoto wao wa mwisho yaani ana nizidi kimo kidogo tu. Nikamwambia kwanini una sema hivyo nikamshauri akanisikiliza.

Sasa akabaki kunidharau pale nitakapo mkasirisha ananitukana
kuna kipindi aliniambia eti mimi ni kamwanaume gani hawezi eti kunitambulisha kwa marafiki zake eti mimi ndio mume wake yote hayo nilisikia nikamsamahe kipindi kingine alinikosea kuniambia nilivyo mfupi ndivyo akili yangu ilivyo fupi nikmsamehe.

Sasa nilivyo rudi nyumbani nikaja na wazo la kumleta huku sasa na nilikuwa nafanya kila nikikumbuka dharau zake pesa nilizo andaa kupambania kuja kwake huku nanununua pombe yangu.

Nilimwambia tuachane na ndani ya nyumba yangu watoke na biashara zangu nafunga akanijibu kwa jeuri eti yeye ni mrembo hawezi kosa wa kumuoa sasa cha ajabu siku hizi ananiandama ananiambia nimsamehe ule ulikuwa utoto sasa hivi amekua kwa hiyo hatorudia kosa lake.

Sasa swali anayekupenda kweli anaweza kukuonyesha dharau na kiburi?
Canada my foot! Hata passport huna nn Canada
 
Sijawahi kuandika kuwa uzi fulani ni chai, lakini huu ninaousoma hapa ni ile slimming tea kabisa...

Ukisoma na kuielewa hii mambo basi jiandae kupunguza mafuta mwilini...

Kwa hesabu ya chap ni kwamba jamaa kawekeza more than 50mil Tsh kwa mtu ambaye hata si mkewe bado na ni mtu ako kampata kwa facebook tu...

Damn, gimme a break!!!
 
Huu ni uongo 100%

Kwa herufi kubwa : HUU NI UONGO 100%
 
Hapana mkuu, toka hapo....huyo msichana na ndugu zake ni wezi....inaelekea hujiamini, huamini unaweza kupata mpenzi tena ndio maana uko desperate kujenga uhusiano hewa, jiamini mkuu, kila pipa na mfuniko wake,utapata anayekupenda na ufupi wako....ukiendelea na huu uhusiano jua utakaribisha shari katika ndoa yako, haitakua na amani ooohhhhoooo atakuletea hadi wanaume ndani..

aiseee noma sana, jamaa akimbie spidi sana hao ni wezi sana
 
Asante ndugu yangu dah
Ila mbona anaonesha dalili kama ananipenda hivi.

Na cha ajabu uo ufupi anao ni tukana yeye si mrefu kwangu sema kako kembamba mimi Nina mwili kidogo.

kapumbavu ako kadada mali milion 30 familia yao wanataka kukunyonya piga chini 2030 utakuja kunishukuru hapa
 
Philosophical vents...
A great mistake in life is believing a mistake fact to be a good one, put a path between being concise in your decision and being ignorant to face external fate...
_____________
Singo quotes
 
Kitu kimoja mkuu hujiamn kabisa.

Mambo kama haya wengine tuliyapitia wakati wa balehe hivi sasa sio rahisi mwanamke kukufanyia dharau hivo na unaendelea kuishi nae.
 
Ndio ina miaka 19 tu na cha ajabu sio mrefu kwangu kivile kana ni zidi kidogo tu maana nikembamba saana mimi Nina mwili kidogo ndo maana kana ni tukana ivo kana ni ambia kana pendaga mwanaume ambaye ana mfikia mabegani sio yeye kumzidi mwanaume au kuwa sawa sawa na mwanaume
Sasa dharau zote hizi bado unajidanganya unapendwa?

Huyo demu anakuja kwako KWA Sababu ya pesa tu ila hakupendi Hata kidogo.

Ukimuoa utakua umechagua kuishi KWA majonzi maisha YAKO YOTE.

Ukimkubalia tu ndo hapo moyo wake unafunguka kutaka mahitaji mengine kama mwAnaume mrefu na siajabu hela ulizokua unamtumia alikua anahonga wanaume warefu.

Kua mwAnaume acha uvulana mbususu zipo tu
 
Ndugu zangu naomba ushauri

Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada.

Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada.

Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi nikampenda sana.

Mpaka ilifikia hatua pesa zangu za mwaka nilizo pokea huku Canada milioni 34 nikanunua nyumba Dar es salam, nikawahamisha kutoka kijijini kwao nikawapeleka Dar yeye na ndugu zake, nikamfungulia saloni ya kike pamoja na restaurant na nikawa namsaidia kwenye mahitaji mengine kila mwezi nikawa namtumia laki 4 za kitanzania.

Sasa ikafika kipindi 2020 nikasema niende kumuona mwanamke wangu. Mimi kufika tu familia yake wakanikatalia eti hauja weka Mahari kwa hiyo haurusiwi kuwa na mtoto wetu.

Nikapiga simu Canada wazazi wangu wakanitumia shilling milioni 5 nikaenda kuweka kwao wakakataa eti izo ndogo mtoto wetu bila dolar 15000 hatoki hapa.

Nikawaambia wazazi wangu wakasema hapa tuna dollar 7000 nikaomba msaada kwa marafiki zangu wakanisaidia nikapata dollar 12000.

Nikaenda kuweka Mahari nikawaambia nataka kumchukuwa mke wangu wakakataa eti huwezi mchukua mpaka hizo zingine umalize nikakubali masharti yao.

Sasa cha ajabu huyo mwanamke nilivyoonana naye mara ya kwanza akaanza kunitukana kuniambia mimi niko sawasawa na mtoto wao wa mwisho yaani ana nizidi kimo kidogo tu. Nikamwambia kwanini una sema hivyo nikamshauri akanisikiliza.

Sasa akabaki kunidharau pale nitakapo mkasirisha ananitukana
kuna kipindi aliniambia eti mimi ni kamwanaume gani hawezi eti kunitambulisha kwa marafiki zake eti mimi ndio mume wake yote hayo nilisikia nikamsamahe kipindi kingine alinikosea kuniambia nilivyo mfupi ndivyo akili yangu ilivyo fupi nikmsamehe.

Sasa nilivyo rudi nyumbani nikaja na wazo la kumleta huku sasa na nilikuwa nafanya kila nikikumbuka dharau zake pesa nilizo andaa kupambania kuja kwake huku nanununua pombe yangu.

Nilimwambia tuachane na ndani ya nyumba yangu watoke na biashara zangu nafunga akanijibu kwa jeuri eti yeye ni mrembo hawezi kosa wa kumuoa sasa cha ajabu siku hizi ananiandama ananiambia nimsamehe ule ulikuwa utoto sasa hivi amekua kwa hiyo hatorudia kosa lake.

Sasa swali anayekupenda kweli anaweza kukuonyesha dharau na kiburi?
Milioni 34 kununua nyumba Dar?? Pagale au? Inafikirisha! Mahali ya milioni 30 na ushee ndio naisikia kwanza leo (USD 15,000.00 x Tsh. 2,100.00)!
 
Back
Top Bottom