πππ dada tajiriiiπππ
Sitakukataza kuniita tajiri coz maneno huumba.πOne day yes.
Kwenye maua shamba girl wako niko hapa.Napenda balaaEnzi nasoma nilikua naiba maua keenye nyumba za watu napanda bustani yangu ya homeπ.Huwa na design garden zangu mwenyewe.
NB:Wewe tyr uko kijichi!ππ
Barikiwa kwa ushauri huu mkuuπKiwanja cha Kijichi. Kama hakijapimwa fosi kipimwe. Nenda Benki mfano NMB nenda na ramani na makadirio ya Ujenzi, waombe mkopo wa ujenzi, utapewa duration ya rejesho na kiasi cha rejesho.
Ukibana huo mkopo unaweza kujenga na kukarabati nyumba ya maramba.
Ukianza kuchukua Kodi uta peleka marejesho kupitia Kodi za hizo nyumba 2. Baada ya miaka kadhaa utakua umemaliza. Unachukua Kodi kote kote
Barikiwa kwa ushauri huu mkuuπKiwanja cha Kijichi. Kama hakijapimwa fosi kipimwe. Nenda Benki mfano NMB nenda na ramani na makadirio ya Ujenzi, waombe mkopo wa ujenzi, utapewa duration ya rejesho na kiasi cha rejesho.
Ukibana huo mkopo unaweza kujenga na kukarabati nyumba ya maramba.
Ukianza kuchukua Kodi uta peleka marejesho kupitia Kodi za hizo nyumba 2. Baada ya miaka kadhaa utakua umemaliza. Unachukua Kodi kote kote
Hutaki tuje kuomba chumvi dogoπππππ dada tajiriii
Kijichi which? Where?
Niishi kijichi nitambe? πππ
Wacha niendelee kudunduliza visenti nije nitafute plot walau nisife bila kuishi ushuani.!
Hapo kwenye maua ndo penyewe lazima uje ufanye jambo.!!
Dada chumvi uje kuomba bonyokwa, wewe wa kishua life la huku utaliweza? π€£π€£π€£Hutaki tuje kuomba chumvi dogoππ
Honestly,kwenye maua labda tu usipende taste yangu ila ni kitu nafanya kwa raha sana.Nybani kwangu maua yana hadi majina kama pets ππ
ok sawa sawaAcha niikarabati kwanza mkuu
Hata kama ni kidogo kinafaa kufanya ujenzi wenye tija baadae.Ingekua vizuri ila kiwanja sio kikubwa kihivyo
Wewe ni kabishi hapo tutakeshaπDada chumvi uje kuomba bonyokwa, wewe wa kishua life la huku utaliweza? π€£π€£π€£
Hiyo yβa maua imeisha ntakusumbua mbona, kitu kimenishinda kufuga paka au mbwa wale wa kucheza nao ndani πππ
Nna mbwa wanafunguliwa night kwa kazi yβa ulinzi, wakifunguliwa mchana basi kwaajili yβa kuogeshwa.!!
πππ nasema ukweli sisWewe ni kabishi hapo tutakeshaπ
Napenda paka ila awe nje tu mambo ya ndani naona kero.Tatizo paka wangu anadeka,ukijilaza sehemu utashtukia tu kakupandia kakulalia na kujimassage miguun hata ukiwa unatembea anakuja half ukimkanyaga bahati mbaya anavyolalamika.Kuna saa Nikiwa na stress nataman nikatupie huko nje π
Wenzio wanafurahi kukuona hapo.πππ nasema ukweli sis
Paka sijawahi kuwaelewa atleast mbwa, hawa mbwa nikiwa narudi labda usiku halafu nikizikuta zimefunguliwa zinanifanyia fujo km una wigi lote litavuliwa π€£π€£π€£
Kuna siku nilimzaba mmoja akawa anaogopa, anajua wig halitakiwi kuguswa.!! π€£
Ila yanqvyokuwaga makali hujaogopa kumzaba kofi?πππ nasema ukweli sis
Paka sijawahi kuwaelewa atleast mbwa, hawa mbwa nikiwa narudi labda usiku halafu nikizikuta zimefunguliwa zinanifanyia fujo km una wigi lote litavuliwa π€£π€£π€£
Kuna siku nilimzaba mmoja akawa anaogopa, anajua wig halitakiwi kuguswa.!! π€£
Furaha yβa kuvuana mawig πππWenzio wanafurahi kukuona hapo.
Mbwa wanajifunza haraka kuliko hata baadhi yetu binadamu.πHao wako nahisi ni german sherpherd,wana akili sana hatarudia tena hilo kosa
Tushazoeana nayazaba yanajua mi boss wao π€£π€£π€£Ila yanqvyokuwaga makali hujaogopa kumzaba kofi?
Walijua utafurahia masikiniπFuraha yβa kuvuana mawig πππ
Hao G sherpherd, moja linaitwa Jailash likali mwingine black Panther.
Hao km sio mwenyeji ukikutana nao utajua hujui π€£π€£π€£