Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Kuna sehemu niliona anatia huruma kuomba connection ys ya ajira nikatamani ningekua na uwezo nimfanyie wepesi.Imagine ningekua na huo uwezo hlf unaingia cha kike kumsaidia mtu kama huyu.
Tena usije ukajaribu dada utajitafutia matatizo, watu humu waache humu humu.!!
 
😁😁😁.
Lazima niwakutanishe
Nijiandae kuvunjika mbavu, nitampa kazi si fundi mzuri??
Kuna dogo anataka kuanza ujenzi vikunai soon
Lazima mzee wa bucci tumuongezee madili azidi kutamba town 😂😂😂
 
Nijiandae kuvunjika mbavu, nitampa kazi si fundi mzuri??
Kuna dogo anataka kuanza ujenzi vikunai soon
Lazima mzee wa bucci tumuongezee madili azidi kutamba town 😂😂😂
Dogo gani wkt ni wewe?😁😁

Yes yuko vizuri kwa kweli hlf ni mstaarabu.
Muwezeshe na yeye akuwezeshe kwenye Zaba😁
 
Dogo gani wkt ni wewe?😁😁

Yes yuko vizuri kwa kweli hlf ni mstaarabu.
Muwezeshe na yeye akuwezeshe kwenye Zaba😁
Sio mimi sis 😂😂😂
Pesa ya plot vikunai naitoa wapi??

Lazima nimuunganishe na mimi anifikirie kwenye upande wa Zaba na Bucci mtu wa maana kabisaa.!! 🤣
 
Back
Top Bottom