Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Mbona mnasema ni Chai au wivu unawasumbua....😃😃😃yani mtafanya watu washindwe kuleta vitu muwashauri...
My dear.
Sidhani kama wana wivu.
Mungu ana njia nyingi za kutukumbusha tusichukulie poa baraka alizotubariki.
Hivi unadhani mwenzio ambae kodi ya chumba cha giza inamsumbua ni rahisi kuamini kuwa inawezekana kuna na nyumba hadi nyingine unawaps watu wakae tu?
Sasa unapoona vitu unavyoona ni vya kawaida hadi unakosa usingizi kutafuta unavyodhani ni vikubwa ndo Mungu analeta watu kama hawa wasioamini kuwa ni rahisi vitu hivyo kupatikana ili umrudishie utukufu wake.
 
Pole ndugu,biashara ya nyumba za kupangisha ni pasua kichwa sana.yaani wakati mwingine ni kama biqshara ya daladala.yaani unapewa kodi halafu kodi ikiisha mpangaji anahama unahitaji kukarabati kwa hela zaidi ya kodi aliyokulipa. Kwa jinsi nilivyokuelewa unafana na mimi,una uvivu wa kwenda kutembelea nyumba zako.wala hapo hakuna uchawi,interest yako iko chini.

Biashara ya nyumba inataka mmiliki mkorofi ndiyo utaiona hela,vinginevyo sounds ni nyingi sana na uhabifu ni mkubwa sana.Wakati mwingine unajenga kwa sababu ya watoto wawe na mahali pa kuanzia ila siyo biashara kwa kweli.Labda ujenge vinyumba vya bei vya bei rahisi huko uswahili uoate elf 30 kwa room.
Ni kweli mkuu.
Sijalogwa mkuu ila mara nyingi natingwa na mishe zangu ninazozitegemea zaidi.
Hizo nyumba ni style yangu yakuhifadhi pesa.Pesa ikikaa kwenye nyumba inaongezeka thamani ila bank inashuka.
 
Kwanini hujui bei ya kuuzia..gharama zako za ujenzi maana yake huzijui pia?!
Hi JF.

Ndugu zangu naomba mawazo yenu.

Ni hivi, kuna nyumba iko hapo Mbezi Maramba mawili naona kama nilipoteza muda na hela zangu bure coz haina faida yeyote kwangu tokea nimeijenga.

Ilipokamilika nilimpa uncle wangu na wife wake wakae. Baada ya miaka 3 ndugu akajiongoza akaenda panga 2 rooms then akaleta mpangaji kwa 200K kwa mwezi. Ikawa ile kodi anatumia kulipia zile 2 rooms inayobaki anatumia.

Ikaenda hivyo for two years nikiwa sijui kitu coz baada ya kuwakabidhi sikuwahi tena kwenda huko hadi siku jirani mmoja kunipigia akilalamika kuhusu wapangaji wangu.Nikashangaa ikabidi niende kwa lengo lakuwatimua hao waliopangishwa bila idhini yangu.

Kufika Maramba, nilijicheka kumebadilika, kumejengwa hata njia ya kufika kwangu nimeisahau😁😁 ila nilifika nikakuta nyumba imechoka baadhi ya vioo vimevunjwa, vitasa hakuna, rangi ndo usiseme ila wapangaji walinipokea vizuri na walikua watu wastaarabu sana.

Nikajitambulisha na wakashangaa coz kwa 2 yrs wanajua ndugu yangu ndo mama mwenye nyumba wao wakaanza kulalamika kutapeliwa.

Nikawaambia hakijaharibika kitu endeleeni kukaa ila nikawaomba wanipe 300k kwa mwezi sababu nyumba imechoka coz 200K ni ndogo sana.

Hiyo 300K kwa mwezi walilipa miezi 6 tu then Covid 19 ikaja wakaomba 200k coz Covid imempozea baba kazi, nikakubali nikiwa naplan nikaikarabati then niweke mpangaji atakayenipa hela yakuridhika.

Cha ajabu nina hiyo plan tokea enzi za Covid ila kila nikifikiria kwenda Maramba kufanya huo mchakato naona uvivu na mind you marekebisho makubwa hapo ni rangi tu na toka nilipoenda kujitambulisha sijarudi tena Maramba so mpaka leo wananipa 200K kwa mwezi ila nahisi ni ndogo sana.

Ninawaza niiuze hiyo nyumba then nikajenge kwenye moja ya plots zangu zilizoko Mtoni Kijichi.Kijichi kuna kodi nzuri.

Au niikarabati then niongeze kodi ila hapa nashindwa kuamua coz sijui soko la nyumba za kupanga likoje hapo Maramba Mawili.

So majirani zangu wa Maramba Mawili hebu niambieni eti kajumba ka 3 bedrooms,big living room,dinning,jiko,choo cha master na public,alluminium window,tiles,umeme ikiwa kwenye hali nzuri halali yake kwa mwezi ni bei gani kupangisha kwa sasa?Enzi hizo kabla wakati nampatia uncle wangu alipatikana mpangaji wa 350K kwa mwezi kwa kila miezi 4.

Na je nikisema niuze nitapata kiasi gani eti majirani zangu wapendwa(Kwa kukadiria)

Natanguliza shukrani zangu Majirani zangu wapendwa.Sisi ni ndugu tusaidiane🙏🙏
 
Kwanini hujui bei ya kuuzia..gharama zako za ujenzi maana yake huzijui pia
Hi JF.

Ndugu zangu naomba mawazo yenu.

Ni hivi, kuna nyumba iko hapo Mbezi Maramba mawili naona kama nilipoteza muda na hela zangu bure coz haina faida yeyote kwangu tokea nimeijenga.

Ilipokamilika nilimpa uncle wangu na wife wake wakae. Baada ya miaka 3 ndugu akajiongoza akaenda panga 2 rooms then akaleta mpangaji kwa 200K kwa mwezi. Ikawa ile kodi anatumia kulipia zile 2 rooms inayobaki anatumia.

Ikaenda hivyo for two years nikiwa sijui kitu coz baada ya kuwakabidhi sikuwahi tena kwenda huko hadi siku jirani mmoja kunipigia akilalamika kuhusu wapangaji wangu.Nikashangaa ikabidi niende kwa lengo lakuwatimua hao waliopangishwa bila idhini yangu.

Kufika Maramba, nilijicheka kumebadilika, kumejengwa hata njia ya kufika kwangu nimeisahau😁😁 ila nilifika nikakuta nyumba imechoka baadhi ya vioo vimevunjwa, vitasa hakuna, rangi ndo usiseme ila wapangaji walinipokea vizuri na walikua watu wastaarabu sana.

Nikajitambulisha na wakashangaa coz kwa 2 yrs wanajua ndugu yangu ndo mama mwenye nyumba wao wakaanza kulalamika kutapeliwa.

Nikawaambia hakijaharibika kitu endeleeni kukaa ila nikawaomba wanipe 300k kwa mwezi sababu nyumba imechoka coz 200K ni ndogo sana.

Hiyo 300K kwa mwezi walilipa miezi 6 tu then Covid 19 ikaja wakaomba 200k coz Covid imempozea baba kazi, nikakubali nikiwa naplan nikaikarabati then niweke mpangaji atakayenipa hela yakuridhika.

Cha ajabu nina hiyo plan tokea enzi za Covid ila kila nikifikiria kwenda Maramba kufanya huo mchakato naona uvivu na mind you marekebisho makubwa hapo ni rangi tu na toka nilipoenda kujitambulisha sijarudi tena Maramba so mpaka leo wananipa 200K kwa mwezi ila nahisi ni ndogo sana.

Ninawaza niiuze hiyo nyumba then nikajenge kwenye moja ya plots zangu zilizoko Mtoni Kijichi.Kijichi kuna kodi nzuri.

Au niikarabati then niongeze kodi ila hapa nashindwa kuamua coz sijui soko la nyumba za kupanga likoje hapo Maramba Mawili.

So majirani zangu wa Maramba Mawili hebu niambieni eti kajumba ka 3 bedrooms,big living room,dinning,jiko,choo cha master na public,alluminium window,tiles,umeme ikiwa kwenye hali nzuri halali yake kwa mwezi ni bei gani kupangisha kwa sasa?Enzi hizo kabla wakati nampatia uncle wangu alipatikana mpangaji wa 350K kwa mwezi kwa kila miezi 4.

Na je nikisema niuze nitapata kiasi gani eti majirani zangu wapendwa(Kwa kukadiria)

Natanguliza shukrani zangu Majirani zangu wapendwa.Sisi ni ndugu tusaidiane🙏🙏
 
Kwanini hujui bei ya kuuzia..gharama zako za ujenzi maana yake huzijui pia?!
Gharama za almost 10 yrs ago za ujenzi zitafanana na za leo kweli mkuu.
?
 
Sawa mkuu.
Ila ina maana nikiifanya mpya hata 350K sipati?
Hapana uwezi pata mzee labda iwe karibu na Morogoro road yani mpangaji asitoe nauli zaid ya 500 kufika home, we kama umebakiza space toa vyumba kadhaa master upate 60k, location matter iyo bei ni ya sinza
 
Hapana uwezi pata mzee labda iwe karibu na Morogoro road yani mpangaji asitoe nauli zaid ya 500 kufika home, we kama umebakiza space toa vyumba kadhaa master upate 60k, location matter iyo bei ni ya sinza
Okay ila many years ago walipatikana wapangaji w 350K kwa mwezi so ukisema hivyo unamaanisha thamani ya nyumba za kupanga imeshuka
 
Kama nikweli uwe makini ,unaweza tapeliwa huo uvivu kwenda kwenye nyumba yako sio bahati mbaya muwe mnaangalia na makabila mnayopangisha
 
Kama nikweli uwe makini ,unaweza tapeliwa huo uvivu kwenda kwenye nyumba yako sio bahati mbaya muwe mnaangalia na makabila mnayopangisha
Yaani acha.
Nimekua na uvivu wa kizembr sana hakika inabidi nichukue hatua
 
Usinambie wewe ni jirani yangu bestie

Iko maeneo karibu na kituo kinaitwa MAKUTI
Karibia na Kwa Osama,ingekua kipindi kile cha kikwete kabla Mambo hayajaharibika,Kodi ungekula Ata laki tano Kwa mwenzi,
Ila Kwa Sasa pandisha Kodi kidogo apo kwenye laki tatu sio mbaya
 
Back
Top Bottom