Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinikwaza nimerudi nimechoka linakuvamia mwingine kavuta mkoba halafu una PC, lingine limenivuta peruvian hair yangu 😂😂😂Walijua utafurahia masikini😃
Hao nawajua vizuri sana.
Sura zao tu unajua leo ndio leo😃
Anajua hata ni peruvian au Indian wala gharama yake sasa😀😀Alinikwaza nimerudi nimechoka linakuvamia mwingine kavuta mkoba halafu una PC, lingine limenivuta peruvian hair yangu 😂😂😂
Nikamzaba
Alilivuta nikaanza kumfukuza nalo akajua tunacheza, nilivyofika karibu nilimzaba akajua niko serious hajarudia tenah.!! 😂😂😂Anajua hata ni peruvian au Indian wala gharama yake sasa😀😀
Sema hatarudia.
Na viatu hamkutagi vimekatwa katwa asubuhi 😀 au vibao vishawatuliza?
Awwww so cute 🥰🥰🥰
Maji wataita mee🤣🤣🤣 Maji wataita mma
Pole mkuu.Ila nyumba za kupangisha naona kama kichefu chefu hela unapata ndogo sana na umetumia gharama kubwa. Ila mpangaji anahisi anakupa hela ndefu.!
Nimepangisha nyumba yangu na sasa nipo mkoan lakin naona kama kuna baadhi ya wapangaji wanataka mwenye nyumba ndio niwalipe kodi wapangaji mana kodi ikikaribia hawapatikan hewan na kujizushia magonjwa ys hapa na pale.
Malamba ni mabwawa ya maji.Kwa nature ya Kimara huwa kuna mabwawa ya maji.Hivi maramba mawili hilo neno MARAMBA maana yake nini katika jina silipendi ni hilo
Huo ndio umuhimu wa kuwa nao wanasaidia sana, hata mimi mbwa iliwahi kuua nyoka kubwa.!🥰🥰
Mimi tokea siku paka wangu aue nyoka mkubwa napenda awepo
Mno sisWanatulinda na mengi