Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Walijua utafurahia masikini😃

Hao nawajua vizuri sana.
Sura zao tu unajua leo ndio leo😃
Alinikwaza nimerudi nimechoka linakuvamia mwingine kavuta mkoba halafu una PC, lingine limenivuta peruvian hair yangu 😂😂😂
Nikamzaba
 
Alinikwaza nimerudi nimechoka linakuvamia mwingine kavuta mkoba halafu una PC, lingine limenivuta peruvian hair yangu 😂😂😂
Nikamzaba
Anajua hata ni peruvian au Indian wala gharama yake sasa😀😀
Sema hatarudia.
Na viatu hamkutagi vimekatwa katwa asubuhi 😀 au vibao vishawatuliza?
 
Anajua hata ni peruvian au Indian wala gharama yake sasa😀😀
Sema hatarudia.
Na viatu hamkutagi vimekatwa katwa asubuhi 😀 au vibao vishawatuliza?
Alilivuta nikaanza kumfukuza nalo akajua tunacheza, nilivyofika karibu nilimzaba akajua niko serious hajarudia tenah.!! 😂😂😂
 
Ila nyumba za kupangisha naona kama kichefu chefu hela unapata ndogo sana na umetumia gharama kubwa. Ila mpangaji anahisi anakupa hela ndefu.!

Nimepangisha nyumba yangu na sasa nipo mkoan lakin naona kama kuna baadhi ya wapangaji wanataka mwenye nyumba ndio niwalipe kodi wapangaji mana kodi ikikaribia hawapatikan hewan na kujizushia magonjwa ys hapa na pale.
 
Wewe ndio ulichukua hela za mwanaume ukaongezea na zako kupeleka kwa kituo?
 
Awwww so cute 🥰🥰🥰
Tatizo mi na nyau tuko tofauti, sijawahi kuwaelewa..!!
🥰🥰
Mimi napenda navipenda hlf kuna siku aliua nyoka basi naona kama walinzi
 
Ila nyumba za kupangisha naona kama kichefu chefu hela unapata ndogo sana na umetumia gharama kubwa. Ila mpangaji anahisi anakupa hela ndefu.!

Nimepangisha nyumba yangu na sasa nipo mkoan lakin naona kama kuna baadhi ya wapangaji wanataka mwenye nyumba ndio niwalipe kodi wapangaji mana kodi ikikaribia hawapatikan hewan na kujizushia magonjwa ys hapa na pale.
Pole mkuu.
Ni vyumba kimoja kimoja au umepangisha nyumba nzima?
 
Back
Top Bottom