digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Ni mtoto, ujue vijana wa siku hizi akili zao kuzitambua ni changamoto, mtu anayejitambua hawezi andika maneno yasiyostaha kama haya,huku tunakuita ni kutojitambua.Nadhani hauko sawa kichwani huwezi andika hivyo kwa mke halali kabisa, Shida naiona kwako zaidi kuliko kwa mke wako
😂😂😂😂😂 We jamaaaSisi ni nani sasa tupinge
We Muache Mwenzio Ndio ameshairarua sasa shida nn?Nadhani hauko sawa kichwani huwezi andika hivyo kwa mke halali kabisa, Shida naiona kwako zaidi kuliko kwa mke wako
Kuna mtu nilimhisi kwa hiyo nick name lakini kwa uandishi huo nimemtoa,ila mpaka utumie hiyo nick name lazima nakufahamu,lakini jirekebishe wewe then think again kuhusu huyo wife.Nilienda j3 kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge,lakn nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na bdae akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawez rud home kwan anaona aibu kwa kumshtaki mme bas nikamrarua kapuchi yake na kumtakia maisha mema.Nitaendelea kesho muda huu nipo kuichabanga papuchi hapa.AHSANTENI KWA USHAURI WENU
Mbona mnamuhukumu dada wa watu? Mnaogopa nini kumwambia ukweli jamaa? Jamaa amefeli kumpiga mkewe, tena inaonekana amempiga sana kiasi cha hadi kuuguzwa na wazazi....Huyo hafai kuitwa mke, ni muhuni flani hivi ambaye ameshakuchoka na ukiendelea nae atakuja kukutoa roho
Acha kupiga mwanamke.Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi.
Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Kufikia hatua ya kupigana ni dalili mbaya kwenye mahusiano. Ipo siku mapanga yatahusika na kupotezeana uhai.Kisa cha kuambiwa huna mke na wewe unakubali ni nini sasa! Kwani magomvi hayatokeagi na watu wakafikishana mbali na wakarudi wakasameheana tena! Mbona we ulimpiga kiasi cha kwenda kutibiwa na kwao? Na yeye akiambiwa hana mume hapo je?
Ndik ujifunzeNilienda Jumatatu kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge.
Lakini nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na badaye akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawezi kurudi Nyumbani kwani anaona aibu kwa kumshitaki mume.
Nikamtakia maisha mema.
AHSANTENI KWA USHAURI WENU
Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga
Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi. Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki. Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom...www.jamiiforums.com
Kama halijawai kukuta kaa kimya tu,yanatokea sana tu.pia nina ndugu in matajiri wa kutupwa na walikuwa wanapigana mpaka wakaachana.Umasikini bwana, eti mtu anapigana na mke wake.
Haya mambo huwezi sikia kwa matajiri.