Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi.

Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Andaa utetezi wa hoja makini na ukishindwa usihofu tupo jopo la mawakili nguli mjin hapa tutakata rufaa tu...

UTASHINDA
 
Na ww nenda kamshtaki kituo kingine ili kiumane[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi.

Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Kwa vyovyote vile muombe msamaha kwa hatua ya kupigana mliyoifikia, tafuta namna ya kuyamaliza nje ya Police.

Kama hayuko tayari kukusikiliza tafuta mtu mwenye ushawishi kwake azungumze naye kumuonyesha how sorry you are na ambavyo ungependa myamalize.
 
Watu wanadai eti mke mwisho pa kushtaki ni kwa wazazi wako huyo siyo mke.

Jamii yetu imekithiri wapiga wanawake na sexual abusers in the name of 'Mimi ni Mwanaume' ni upuuzi lakini ndiyo unaoendelea.

Mleta uzi anasema alimpiga, akauguzwa, amekaa muda kisha akaenda zake kwao. Akafungua mashtaka kutokea kwao, hakuna aliyeona huyo binti kaumia kiasi gani na hakuna anayetaka kujua.

Wote wameishia hapo huyu bwana kushtakiwa.

Unakutak kesi ya mtu aliyemchoma moto mkewe kwa magunia mawili na watu wanasema 'Ndiyo dawa yao' hii jamii inahitaji kusafishwa same na usafishaji unaoendelea sehemu zingine.
 
Nilienda Jumatatu kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge.

Lakini nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na badaye akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawezi kurudi Nyumbani kwani anaona aibu kwa kumshitaki mume.

Nikamtakia maisha mema.

AHSANTENI KWA USHAURI WENU

 
Nilienda j3 kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge,lakn nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na bdae akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawez rud home kwan anaona aibu kwa kumshtaki mme bas nikamrarua kapuchi yake na kumtakia maisha mema.Nitaendelea kesho muda huu nipo kuichabanga papuchi hapa.AHSANTENI KWA USHAURI WENU
Nyege mbaya sana zisikie kwa mwenzio tu
 
Ndoa ndiyo KWISHNEY? Eti ukamrarua papuchi yake! 😂😂😂😂😂😂
Nilienda j3 kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge,lakn nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na bdae akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawez rud home kwan anaona aibu kwa kumshtaki mme bas nikamrarua kapuchi yake na kumtakia maisha mema.Nitaendelea kesho muda huu nipo kuichabanga papuchi hapa.AHSANTENI KWA USHAURI WENU
 
Back
Top Bottom